sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Karibu NN, na uache utukutu! Hawajambo uliowaacha huko?Were you keeping tabs on me or what?
Karibu NN, na uache utukutu! Hawajambo uliowaacha huko?Were you keeping tabs on me or what?
Morning B, hope hasira za kuuziwa na kabinti kangu zimeisha jana ile, ile!bahati yako nna hasira,kabinti kako kameniuzi
Karibu NN, na uache utukutu! Hawajambo uliowaacha huko?
Afu wewe, ndio nini waanzisha maandamano police wakitokea wakwanza kukimbia? Umetuacha wenzio tumemwagiwa maji ya pilipili! Maandamano yamesaidia Nyani Ngabu kaachiwa, tuendelee na wengine waachiwe, makutano pale pale pa jana!aya maandamano mpaka kwa invisible na maxence...bango nalinyanyua kwa kuibiaibia,siunajua tena wazee wa virungu na bosi wao Kova huwa awachezi mbali!!
Ulikuwa kifungoni!..Karibu kwani nilienda wapi?
Ulikuwa kifungoni!..
Wewe ndo ulinifungia?
Kwani ulikuwa wapi????
Ulipotea bila kuaga
Samahani mh Rais wa wabeba mabox Nyani Ngabu,.... karibu nimechinja paka!Wewe ndo ulinifungia?
Samahani mh Rais wa wabeba mabox Nyani Ngabu,.... karibu nimechinja paka!
Kwani ulikuwa wapi????
Ulipotea bila kuaga
Ok jukwaa lilikumiss karibu sanaNilikuwa kwenye mishe mishe ya kutafuta maisha
alienda kubeba mabox.lol
Ok jukwaa lilikumiss karibu sana
Mambo yako poa kabisa mkuu tunaendeleza mishemishe tu hakuna jipyaNashukuru kusikia hivyo.
Mambo niaje lakini? Bien?
Ntamchemsha na mboga mboga!..Utampikaje?
Ntamchemsha na mboga mboga!..
Mwenyewe lol!ntakutera iwe
Owkey Mheshimiwa!...Haya usisahau kuweka limao. Sawa?