Wapendwa mie sio mchangiaji sana wa hapa chitchat,ila ni mpenzi sana wa hili jukwaa..
Na kikubwa kinachonifanya nipende kuchungulia umu,ni vibweka na burudani ya baadhi ya memba ambao kwa sasa siwaoni kabisa..na wengi nimeona wamepewa BAN
Ivyo nilikuwa nashauri ndugu zangu tuandamane ata kwa kutuma meseji kwa mods wawape msamaha hawa watu ili tuendelee kupata uhondo..
Baadhi ya hao memba ni hawa hapa.
Nyaningabu
Faizafoxy
Kiranga
Rev Masanilo
Figganiga
Mwita25
Matumbo
Lizzy
Bigirita
Washawasha
MTM
Boss
Jmushi
Mzee
na wengine wengi...
Na kikubwa kinachonifanya nipende kuchungulia umu,ni vibweka na burudani ya baadhi ya memba ambao kwa sasa siwaoni kabisa..na wengi nimeona wamepewa BAN
Ivyo nilikuwa nashauri ndugu zangu tuandamane ata kwa kutuma meseji kwa mods wawape msamaha hawa watu ili tuendelee kupata uhondo..
Baadhi ya hao memba ni hawa hapa.
Nyaningabu
Faizafoxy
Kiranga
Rev Masanilo
Figganiga
Mwita25
Matumbo
Lizzy
Bigirita
Washawasha
MTM
Boss
Jmushi
Mzee
na wengine wengi...