JF App

Sharobaro anaweza kuwa hata Moderator wa hili jukwaa maana ukiangalia mopja ya majukwaa yanayopwaya na hili ni mojawapo mpe kazi kijana, nasikia hiyo Mobile App ipo tayari lakini mnataka kuanza kuifanyia majaribio ni kweli???

We will work on this on a serious note, tulishafikiria kulifanyia kazi lkn kwa wakati huo watumiaji wa smartphones walikuwa wachache sana.Tunashukuru kwa kulikumbushia
 
Daah yaani mi nilikuwa nina wazo kama hilo maana JF ukiifungulia kwenye iphone kupitia opera mini inazingua ile mbaya saa nyingine hauwezi kuchangia kitu kwa sababu ukitouch sehemu ya kuchangia keyboard inakuwa hairesponse.
 
Symbian users tupo!
 
Symbian is not a dying platform.... Its the second most used platform in the world so engagdets says so... With the new symbian ^3 and symbian Anna it should stick ontop for a while longer and besides Nokia is planing on shutting down in that case Symbian will still be used *# Carbide# NB: I think Symbian OS has more app than any other OS Yeah the JF App will be a great idea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…