Tunazungumzia rangi si timu. Mtoa hoja nanataka kwenye jezi za timu ya taifa kuwe na rangi nyekundu kwa vile ni rangi ya timu kubwa hapa nchini. Je hii ni sababu ya msingi? Azam je nao tuweke rangi yao kwenye jezi za timu ya taifa?Hapa tunazungumzia timu sio bendera.
Ndiyo designer wa jeziMakonda ni kama nani hapo
nimecheka sanaaya nenda kachukue buku saba yako lumumba
Mtani kwani katika bendera yetu kuna njano tu why waikoleze njano tuNauliza tu Mtani kwani kwenye Bendera ya Taifa kuna rangi nyekundu?
Rais awamu ya 6Huyo mwenye suti ni nani ati!
Mbona hamkuhoji walipoikoleza blue. Acheni hizo bana Mtani.Mtani kwani katika bendera yetu kuna njano tu why waikoleze njano tu
hahaha msimu huu kweli mmepania
Napendekeza jezi ya taifa ingewekwa nembo ya picha ya rais wa Nchi kama ishara ya kutambua juhudi za kiongozi wa awamu ya tano
😀😀😀😀Na sisi mashabiki wa Ndanda tukalalamike wapi?!
Mkuu uishi mileleUmeshindwa kutambua juhudi za mama mzazi aliyekubeba tumboni kwa miezi tisa, akakuzaa na kukulea mpaka kufikia hapo leo hii unamkosea heshima kiasi hiki??
Kwa akili kama hizi za kwako basi tuna mile nyingi za kwenda
Unhisport hawa ni mabeberu au wavimba macho?Ila Nike wanajitahidi sana, hivi hatuwezi pata kama ile ya Nigeria ya kijani ikiyokokea kabisa au njano kama ya brazili au blue kama ya chelsea
Haya basi nyeusi tii na bukta ya njano je
Nyie kuweni wakweli Mtani huyo Naniliu hapo kushoto kwa Karie ndio kawafanya muone jezi mbaya na wala si hiyo rangi sababu hao wote wawili ni Simba lialia.Mtani kwani katika bendera yetu kuna njano tu why waikoleze njano tu
hahaha msimu huu kweli mmepania
Na mie pia nitanunua iko bomba kwa kweli.Uzi wa njano umetulia sana nitanunua
Hahaha yani TFFMbona hamkuhoji walipoikoleza blue. Acheni hizo bana Mtani.
Nadhani wameamua kufanya mabadiliko hivyo tulieni tu na ikiwezekana mununue ili muisapoti TFF katika kupata mapato. 😀😀
Ha ha ha ha ha jezi Kali unampa kichuya na GadielSijawahi kupenda rangi ya blue katika jezi zetu za taifa. Kwanza mimi ni mnazi ya Simba (Mimi ni Kilomoni Jr.) ila ahuweni tutumie rangi hizi mbili (kijani na njano) au kama tunatumia blue basi iwe kwenye soksi ama bukta na iwe blue ya kukoza kama ile ya Brazil.
Fulana zikiwa kijani zitaleta muonekano mzuri sana na iwe kijani ya kukoza sana na bukta ndizo ziwe za blue.
Mwisho: kwa aina ya wachezaji wetu hata ukiwapa jezi za dhahabu ni sawa na kipini cha dhahabu juu ya pua ya nguruwe.
Wapeni tu hayo hayo majezi mabaya yanayoendana na uchezaji wao wa hovyo...
Kwani jezi ya taifa lazima iwe na rangi za bendera ya taifNasubiria jibu lake..
Bashite katia mkosi tu apo hana analoweza zaidi ya kulia lia na kulilia magari ya watuBashite anategesha misifa tu hapo.
hapo timu ikishinda atasema ni vile ni serekali ya CCM ya awamu ya 5 imewezesha!
kimbuka yeye ni Simba lialia (red) lakini wakati huohuo ni CCM kindakindaki (yellow & green).
so, hapo anategeshea tu tumbo lake kuhakikisha linapokea tokea ile kipande ya yellow & green!
Au Mwantika, ni bora wavae hizo hizo.Ha ha ha ha ha jezi Kali unampa kichuya na Gadiel