Umeshindwa kutambua juhudi za mama mzazi aliyekubeba tumboni kwa miezi tisa, akakuzaa na kukulea mpaka kufikia hapo leo hii unamkosea heshima kiasi hiki??Napendekeza jezi ya taifa ingewekwa nembo ya picha ya rais wa Nchi kama ishara ya kutambua juhudi za kiongozi wa awamu ya tano
Bashite anategesha misifa tu hapo.Nimeona jezi mpya za timu ya Taifa zimetambulishwa Leo.
Haiwezekani jezi zote hazina rangi nyekundu,lazima wote tuletwe pa1 kupitia rangi za timu ya taifa.
Kubali kataa Tz kama sio simba/yanga.View attachment 1125390View attachment 1125392
Acha uboya wewe jenzi ya timu ya Taifa inawakilisha bendera ya TaifaNimeona jezi mpya za timu ya Taifa zimetambulishwa Leo.
Haiwezekani jezi zote hazina rangi nyekundu,lazima wote tuletwe pa1 kupitia rangi za timu ya taifa.
Kubali kataa Tz kama sio simba/yanga.View attachment 1125390View attachment 1125392
kama Naibu raisi wa jamhuri ya muungano wa TanzaniaMakonda ni kama nani hapo
Sheria za FIFA haziruhusu siasa kwenye mpiraNapendekeza jezi ya taifa ingewekwa nembo ya picha ya rais wa Nchi kama ishara ya kutambua juhudi za kiongozi wa awamu ya tano
Kwani bendera ya taifa ina rangi ya njano?Bendera ya Taifa ina Rangi Nyekundu
We unazungumzia timu(usimba/uyanga) lakini waliobuni walizingatia bendera ya taifa, so who is sensible between you and those who designed it?Hapa tunazungumzia timu sio bendera.
Dhahabu ndo rangi gani?Kwani bendera ya taifa ina rangi ya njano?
Magufuri alisema ni rangi ya dhahabu sio njano
Sio kweli. Hapa tunazungumzia jezi sio timu.Hapa tunazungumzia timu sio bendera.
Ni wivu tuWangemtafuta DISMAS TEN awabunie jezi nzuri ya Taifa ambayo hata wachezaji wakivaa adui anaogopa sasa hizo mbona hazitishi zimekaa kaa kidiplomasia sana
Aliyepaswa kukusikiliza hana masikio..!Mbegu ya utengano iliyopandwa katika Taifa inaota kwa kasi sana.
Kama si Yanga na Simba basi CCM na Chadema. Kama si Ukristo na Uisilamu basi Uzanzibari na Utanganyika. Kama si Uchaga na usukuma basi ni mwanaume wa Dar na wa Mkoani.
Wakuu tusipoangalia kuna bomu kubwa sana linatunyemelea.
Hii ni kitu kidogo sana mkuu, hukupaswa hata kupeleka mawazo yako kwenye uYanga na uSimba.
Kabudi asikosekaneNapendekeza basi waweke na baraza la mawaziri lote.
aya nenda kachukue buku saba yako lumumbaNapendekeza jezi ya taifa ingewekwa nembo ya picha ya rais wa Nchi kama ishara ya kutambua juhudi za kiongozi wa awamu ya tano