ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,682

waganga bana

waganga bana
Umeshindwa kuisaida yako ukasaidie jiraniWalipaswa kwanza kunipa maua yangu kama viongozi wao walivyofanya baada ya kuupokea ushauri wangu na kuufanyia kazi
Hivi hii ilikuwa ni kwa msimu uliopita tu? Natamani kuanzisha timbwili hapa




Hatari sana,
Hahahahaha .kumbe huwa unaonaga eehDingi hua mara nyingi anaingia chaka sema kwa heshima aliyonayo hapa haandamwi kama wengine. Ila kiufupi ni mtaalamu sana wa kuandika upuuzi kwa maelezo ya kuvutia.