This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,184
- 5,426
Mfano ukamkuta mtu kavaa kile kijora cha kijani cha utopolo halafu bahayi mbaya akawa añaendesha kile kibaiskeli cha kijani yaani hapo ukiitwa MJUMBE WA KURA ZA MAONI UTAGOMBA?
SO kuna jezi ya viwango vya juu ya Mnyama halafu kuna kile kijora cha wajumbe.
Ila wajumbe siyo watu wazuri katika kila nyanja,yaani mnaenda hapo mkuranga kwa Fundi Nasoro mnakata kijora mnaita jezi.
Ooooh DIADORA anatangazwa bure ,wewe na mimi nani kauona mkataba wa jezi? Aklili ndogo na ujuaji.!
Badala ya kuhoji mkataba wa GSM+HERSI na Yanga wa kutengeneza jezi ni shilingi ngapi mnahangaika na Jezi ya Simba.
Nb: ina maana miaka yote wenye akili ni wale wale wawili hawaongezeki??
SO kuna jezi ya viwango vya juu ya Mnyama halafu kuna kile kijora cha wajumbe.
Ila wajumbe siyo watu wazuri katika kila nyanja,yaani mnaenda hapo mkuranga kwa Fundi Nasoro mnakata kijora mnaita jezi.
Ooooh DIADORA anatangazwa bure ,wewe na mimi nani kauona mkataba wa jezi? Aklili ndogo na ujuaji.!
Badala ya kuhoji mkataba wa GSM+HERSI na Yanga wa kutengeneza jezi ni shilingi ngapi mnahangaika na Jezi ya Simba.
Nb: ina maana miaka yote wenye akili ni wale wale wawili hawaongezeki??