Jana katika taarifa ya habari ya TBC1 saa 2usiku nilistaajabu kidogo kusikia Mkuu wa kikosi cha wanamaji Meja jenerali Omari akilijuza Taifa sababu za kupanda kwa bei ni uharamia katika bahari Hindi. Sijui mi ndo sjaelewa au?maana nilidhani taarifa hizi zingetolewa na BOT au waziri wa Fedha kama vyombo vyenye dhamana na huyo Afande atoe sababu za kushindwa kukabili maafa ktk mafuriko ya Dar kwa wakati.