Jeshi lijitokeze na kutoa msimamo wa utekaji na haki za binadamu Tanzania

Jeshi lijitokeze na kutoa msimamo wa utekaji na haki za binadamu Tanzania

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Imefika wakati jeshi lijitokeze na kutoa msimamo kama wanaunga mkono upotoshaji wa haki na kunyamaza wakati watanzania wanatekwa na vyombo vingine na wanasiasa wananyima haki. Au Jeshi litoe msimamo kwamba Tanzania katiba inatakiwa kufuata ikiwa ni pamoja na kuwa na uhuru wa kupiga kura, kukomesha utekaji wa aia yeyote unao endelea Tanzania na kufuata haki.

Watanzania watapongeza kwa hili maana Polisi na Usalama sasa wamekuwa wanasiasa na jeshi na kitengo chake cha iusalama hawawezi kuendelea kukaa kimpya na kuacha unyanyasaji wa raia kwa kiasi hiki. Sisi tupo nyuma yenu kwa lengo la kuleta haki Tanzania
 
Jeshi hilihili la maelekezo? Hapana hata kama wakijitokeza, watakuja na bla bla nyingi, kwani maushungi kwenye mauaji ya mzee Kibao alisema itaundwa tume na itatoa majibu ya wazi mpaka leo kimya, kiukweli inasikitisha sana.
 
Imefika wakati jeshi lijitokeze na kutoa msimamo kama wanaunga mkono upotoshaji wa haki na kunyamaza wakati watanzania wanatekwa na vyombo vingine na wanasiasa wananyima haki. Au Jeshi litoe msimamo kwamba Tanzania katiba inatakiwa kufuata ikiwa ni pamoja na kuwa na uhuru wa kupiga kura, kukomesha utekaji wa aia yeyote unao endelea Tanzania na kufuata haki.

Watanzania watapongeza kwa hili maana Polisi na Usalama sasa wamekuwa wanasiasa na jeshi na kitengo chake cha iusalama hawawezi kuendelea kukaa kimpya na kuacha unyanyasaji wa raia kwa kiasi hiki. Sisi tupo nyuma yenu kwa lengo la kuleta haki Tanzania
 
1756904328762.png




Mwamba toa tamko la chaguzi huru okoa hii nchi
 
Kwa nini JF inafuta hizi uzi? Hivi ni kweli kabisa huyu Max na watu wake na wao wamekuwa upande wa utesi?? Kwa kweli tuanzishe tu na forum yetu, hii sasa ni too much..
 
Back
Top Bottom