Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Baada ya kutonywa namsamaria mwema sijui tumuite ama kanyimwa mgao jeshi limekamata kilo 97.8 za heroine
mchana huu njia ya kunduchi beach..na watu watano wakiwemo wakina rostama aka iran wawili na watanzania watatu
wako chini ya ulinzi
natwakia maisha mema huko waendako maana walikuwa wanahangaika kutoka
jeshi naombeni jiulizeni zimetoka wapi na nani aliewapa badala ya kuchukua hizo dawa na kwenda kujinufaisha kama mnavyofanya pale kurasini sipendi kuendelea na mengi..zimetoka wapi hili ndiloswali muhimu
mchana huu njia ya kunduchi beach..na watu watano wakiwemo wakina rostama aka iran wawili na watanzania watatu
wako chini ya ulinzi
natwakia maisha mema huko waendako maana walikuwa wanahangaika kutoka
jeshi naombeni jiulizeni zimetoka wapi na nani aliewapa badala ya kuchukua hizo dawa na kwenda kujinufaisha kama mnavyofanya pale kurasini sipendi kuendelea na mengi..zimetoka wapi hili ndiloswali muhimu