Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 886
- 664
Niliwahi kusoma na vijana ya mataifa jirani, waliokuwa wanashangaa yaani kukaa wiki mzima hamjasikia milio ya bunduki ni ajabu, waliokuwa wanashangaa sana hapa kwetu, hii ni sifa kubwa kwa jeshi letu la ulinzi na usalama.
Hoja yangu kwenu sasa hivi kuna wimbi la kelele ambazo hazikuzoeleka " Nchi inaibiwa, Nchi imeuzwa, kuna wachache wanaidhurumu nchi, watu wanahamisha urithi wetu, kuna watu wanatoa uhai wa watu wetu" Mimi Naziita kelele,kwa kuwa hazina uthibitisho lakini penye Moshi pana moto. Jenshi letu tumewapa kila dhamana ya Nchi yetu. Niulize tu hizi kelele za kweli? Kama zina chembe ya ukweli mko wapi mpaka watu waingie barabarani,? Hata kama mnakula vizuri mnaishi vizuri mmewezeshwa kwa kila hitaji, lakini Sisi waajiri wenu kelele zimezidi je haziwawasi usingizi mnaona sawa tu. !
Mheshimiwa Mdogo wangu Gen. Mkunda Shikamoo.
Hoja yangu kwenu sasa hivi kuna wimbi la kelele ambazo hazikuzoeleka " Nchi inaibiwa, Nchi imeuzwa, kuna wachache wanaidhurumu nchi, watu wanahamisha urithi wetu, kuna watu wanatoa uhai wa watu wetu" Mimi Naziita kelele,kwa kuwa hazina uthibitisho lakini penye Moshi pana moto. Jenshi letu tumewapa kila dhamana ya Nchi yetu. Niulize tu hizi kelele za kweli? Kama zina chembe ya ukweli mko wapi mpaka watu waingie barabarani,? Hata kama mnakula vizuri mnaishi vizuri mmewezeshwa kwa kila hitaji, lakini Sisi waajiri wenu kelele zimezidi je haziwawasi usingizi mnaona sawa tu. !
Mheshimiwa Mdogo wangu Gen. Mkunda Shikamoo.