Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
jeshi la uganda limeonya serikali ya congo kufuatia mabomu mawili kuangukia bunagana kwenye mpaka na uganda wakat wakishambulia waasi wa m23 asubuh ya leo.
mamia ya watu wamekimbilia wilaya ya kisoro.
source : NTV Uganda
mamia ya watu wamekimbilia wilaya ya kisoro.
source : NTV Uganda