Jeshi la Uganda limeionya serikali ya Congo hii leo

Jeshi la Uganda limeionya serikali ya Congo hii leo

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,328
jeshi la uganda limeonya serikali ya congo kufuatia mabomu mawili kuangukia bunagana kwenye mpaka na uganda wakat wakishambulia waasi wa m23 asubuh ya leo.

mamia ya watu wamekimbilia wilaya ya kisoro.

source : NTV Uganda
 
Mabomu yalikuwa yanamfuata kiongozi wa m23, kama vipi wamuonye na yeye kwa kitendo cha kukimbilia ug. chapa hao kama vipi tutapitia mutukula.
 
jeshi la uganda limeonya serikali ya congo kufuatia mabomu mawili kuangukia bunagana kwenye mpaka na uganda wakat wakishambulia waasi wa m23 asubuh ya leo.

mamia ya watu wamekimbilia wilaya ya kisoro.

source : NTV Uganda

Kwa nini wasiwalaani M23 kwa kukimbilia upande wa Uganda?
 
Mabomu yalikuwa yanamfuata kiongozi wa m23, kama vipi wamuonye na yeye kwa kitendo cha kukimbilia ug. chapa hao kama vipi tutapitia mutukula.

tupo tayari kuwanyoosha wanyonyaji weusi, piga hao mamluki wa m 7 na pk
 
nimecheka sana, lakini ni ukweli mtupu!

idi aminiii akija, sisi tupo tayari, idi amini akija sisi tupo tayari,
akija nchi kavu kanyaga, kanyaga kanyaga kanyagax2 sisi tupo tayari.

Jamani napiga jaramba manake wanakera sana hawa walevi wa damu za watu, i.e. m7 na yule mwenye jina la nchi yake, bila kumsahau kimbaumbau kagome.
 
idi aminiii akija, sisi tupo tayari, idi amini akija sisi tupo tayari,
akija nchi kavu kanyaga, kanyaga kanyaga kanyagax2 sisi tupo tayari.

Jamani napiga jaramba manake wanakera sana hawa walevi wa damu za watu, i.e. m7 na yule mwenye jina la nchi yake, bila kumsahau kimbaumbau kagome.

tuombe mungu tu siku yaja! lazima tuukomesha ushamba wao
 
Mbona walimkodia chopper Kiongozi wa waasi na kumficha Kampala wakati wanaume wanaiteka Bunagana? Nao nawaona ni wanafiki tu!

!
 
M7 na PK Acheni ushamba na ulimbukeni jeuri hiyo mmeipata kutoka TZ. wakati Huo Jomo/Moi waliwakataa nyinyi na kuwaita waasi/wahuni. Iweje Leo mnajipendekeza, msisahau fimbo iliyowachapa wenzenu bado IPO, tieni akili na mlete adabu, someni alama za nyakati.
 
Back
Top Bottom