mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Kumbe hujui hiyo ni Ilimu islamu eeh
Bibilia ni Fairy tales, Mungu kafa siku tatu.... Je unajua kama hutendi dhambi, mungu wako atakuwa amekufa bure?Quran ni hadith, hata hilo hujui View attachment 808053 halafu nashangaa Huelewi hata maana ya KITABU View attachment 808085
Unanichekesha kwa sababu kama nlivosema, unapost picha, akisha unachoandika hakiandani na picha uloweka.Kumbe hujui hiyo ni Ilimu islamu eeh View attachment 808100View attachment 808101View attachment 808102View attachment 808103 fukua makaburi
Bibilia ni Fairy tales, Mungu kafa siku tatu.... Je unajua kama hutendi dhambi, mungu wako atakuwa amekufa bure?
na nyie mbona mmegawanyika. washiha hawaamini mohamed kama ndo mtume wa kwanza munguKwanza kakaeni kitako, ili mukubaliane muwe mnatumia kitabu kimoja cha hadithi za paukwa na pakawa. Sio huyu chake vitabu 66, mara yule 11 havimo, mara huyu anaamini utatu na yule haamini.
Kwani kuna muislam yoyote anaeamini kuwa mtume wa kwanza wa Mungu ni Muhammad s.a.w?na nyie mbona mmegawanyika. washiha hawaamini mohamed kama ndo mtume wa kwanza mungu
Bibilia nzima ni hio tu?eti hizifairy taleskisilamu silamu
Kwaio unakubali Mungu wako alipigwa misumari na akafa?KUFA siku.3 Sasa hapo kwa mwenye kutafakari Ndipo Angeng'amuaUWEZO, MIUJIZA NA UKUU WA MWENYEZI AMBAVYO AKILI YA MWANADAMU ILIYO DHAIFU HAIWEZI KUJUA...Hebu jiulize kwa akili dhaifu ya kibindamu ktk siku.3 alizo KUFA Mungu jee dunia ilisimama? Hapana!!! Hapo kwa Wasomi na wanao Mcha Mungu Ndipo wanapo uthibitisha UWEZO, UKUU, NA MAAJABU YA MUNGU AMBAYE ATAKALO HUWAmbona kiaina allah na baba kassim
sasa hapo ungejiuliza Wa DHAHIR NA SIRI KIVIPI NA ANAFISHA NA KUHUISHA KIVIPILAZIMA unetoboa hapa
kwa vile una taaluma ya harjununu fununu unamwaga uzwazwa uliokaririshwa madrasat kwa bakora za makalio
Bibilia nzima ni hio tu?
Kwaio unakubali Mungu wako alipigwa misumari na akafa?
Mwenye kutoa uhai na mwenye kuuchukua uhai, au ilikuwa ngumu kuelewa?
Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, Hilo Neno lilikuwapo kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu.... Hapa pana miungu miwili mpaka sasa kwa mujibu wa mstari uloleta.
Ukaendelea kuwa huko mwanzo alikuwepo kwa Mungu, ukiulizwa nani huyo alokuwepo kwa Mungu? Jibu litakuwa Neno ndio alikuwapo kwa Mungu, na hilo Neno umesema ni Mungu. Je nikuulize swali na naomba unijibu? maana yote unayaruka.
MUNA MIUNGU MINGAPI?
Bibilia nzima ni hio tu?
"HAPO NIMEKUONYESHA MWANDISHI WA KWANZA WA BIBLIA TAKATIFU NI MUNGU MWENYEWE!"
WA SIRI NI MWENYE KUTOA UHAI NA KUUCHUKUA Fichaga ujinga wako wewe Hivi hata Neno SIRI hujui maana yake?Wa dhahirWa SIRI hapo Mungu haonekani, Wa DHAHIRI hapo ameonekana hata kwa macho ya nyama pamoja na UKUU, UWEZO WAKE, NA MIUJIZA IPITATO AKILI YA CHILU KUTAMBUA....
Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, Hilo Neno lilikuwapo kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu.... Hapa pana miungu miwili mpaka sasa kwa mujibu wa mstari uloleta.
Ukaendelea kuwa huko mwanzo alikuwepo kwa Mungu, ukiulizwa nani huyo alokuwepo kwa Mungu? Jibu litakuwa Neno ndio alikuwapo kwa Mungu, na hilo Neno umesema ni Mungu. Je nikuulize swali na naomba unijibu? maana yote unayaruka.
MUNA MIUNGU MINGAPI?
Usitetemeke mikono, andika vizuri ueleweke."AKIWA NENO SIKUBALI ALIPO UVAA MWILI WA KIBINADAMU DHAHIR"
Umesema mwenyewe kuwa "...wewe lugha imani ya wafuasi wa yesu ni uzwazwa tu..." asante, umekiri mwenyewe kama imani yenu ni uzwazwa tuHIVI UKIMTUKANA MTU ITAENDA SHTAKIWA SAUTI SIO WEWE chilu?? Niwekee ayat toka Biblia Takatifu ninayo uamini kwamba nina Mungu zaidi ya.1 wewe lugha Imani ya Wafuasi Wa Yesu ni uzwazwa tu! Na tatizo ni la kungwi yako allah na baba kassim aliye kufunga somo la kumjua Mungu hawana sifa wala udhu Wa hilo somo
nawaomba ndugu Wa chilubwi muangalieni sana huyu, huko anako elekea kuna hizi opts akufuru, aretadi, au kajinyonge ima avae mkanda akajilipueeHAFUNDISHIKI HUYU!
Usitetemeke mikono, andika vizuri ueleweke.
Umesema mwenyewe kuwa "...wewe lugha imani ya wafuasi wa yesu ni uzwazwa tu..." asante, umekiri mwenyewe kama imani yenu ni uzwazwa tu
"Hata ukibadili maudhui haikusaiidii kitu wewe ni Mtu Wa motoninarudia tena wewe allah na baba kassim lugha Imani ya Wafuasi Wa Yesu huijui ni zwazwa tu "
Ushahidi umeuleta mwenyewe kwenye aya zenu;
Hapo mwanzo kulikuwa na NENO, Hilo NENO lilikuwa kwa MUNGU.... Hivi hii sentensi inataka ufundi gani kuitafsiri eti?
Nikisema hapo mwanzo alikuwepo mgen, nae mgen alikuwako kwa chilubi. Huoni hizi sentensi kuwa tupo wawili?
"NDIVYO ALIVYO KUJAZA MATANGO PORI BABA KASIM " NENO LA MGEN KWA TAARIFA HALIWEZI KUWA LA CHILUBI! ndio sababu allah shetani kawapata kwa sababukitu iko wazi wewe unapindisha ndimi yako kama hujui ni kwa hasara yako! kafir mkubwa wee
huyo yohana angesema hapo mwanzo kulikuwa na neno, nalo neno ni Mungu, basi ingekuwa neno pekee. Lakini kumbe hilo neno lilikuwa kwa Mungu. halafu hilo neno nalo kumbe Mungu.
Uthibitisho mwengine kama mna mungu zaidi ya mmoja, ni pale mungu wenu anaposali. Sasa mi nkuulize, mungu wenu anamsalia nani na yeye ni mungu?
Halafu mnajidai mnamfuata Mungu yesu, lakini hamusali kama alivokuwa anasali mungu wenu kwanini?
Mnaposema kuwa Yesu ni Mungu, basi na bikra maria nae ni mungu wenu, kwani yeye ndie amemzaa mungu, hivi kama atakuwa sio mungu, akisha tunaamini kuwa god is all powerful, unafikiri binaadamu angeweza kumzaa Mungu? mtoto wa nyoka huwa nyoka nae...
Fikiria tena unachoamini, mda upo wa kutolewa upumbavu.
Bikra maria ananiita mimi Mungu baba yake? dini yenu iko shaghala baghala.. Mikuki imekuchoma lakini umechagua kuangamia.Mawazo yako kwenye ngono ngono ngonoka kama hujui Bikira Maria anakuita Mungu Baba yake! Uwezo Wa Mungu unalinganisha na Babu yako...
Bikra maria ananiita mimi Mungu baba yake? dini yenu iko shaghala baghala.. Mikuki imekuchoma lakini umechagua kuangamia.
Jukwaa la lugha niende mimi au uende wewe? hujui maana ya "anakuita" kwani? Nondo zimekupata kiasi kwamba ata unachoandika hukijui, umebakisha ujing.a wa Abuu Jehel tu tenaNenda jukwa la lugha chiIuu huku unajiongeza dogo huyo allah namuona shetani tu itakuwa wewe chiluu BIKIRA MARIA "ANAMUITA MUNGU BABA YAKE" sawa??
nilichoelewa kutoka kwako ni kwamba upo ndani ya boxBibilia nzima ni hio tu?
Kwaio unakubali Mungu wako alipigwa misumari na akafa?
Mwenye kutoa uhai na mwenye kuuchukua uhai, au ilikuwa ngumu kuelewa?
Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, Hilo Neno lilikuwapo kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu.... Hapa pana miungu miwili mpaka sasa kwa mujibu wa mstari uloleta.
Ukaendelea kuwa huko mwanzo alikuwepo kwa Mungu, ukiulizwa nani huyo alokuwepo kwa Mungu? Jibu litakuwa Neno ndio alikuwapo kwa Mungu, na hilo Neno umesema ni Mungu. Je nikuulize swali na naomba unijibu? maana yote unayaruka.
MUNA MIUNGU MINGAPI?
ndugu ni heri ungemtafuta YESU ungali kijana maana saa yaja, utatamani kumkiri YESU na utakuwa umechelewaUsitetemeke mikono, andika vizuri ueleweke.
Umesema mwenyewe kuwa "...wewe lugha imani ya wafuasi wa yesu ni uzwazwa tu..." asante, umekiri mwenyewe kama imani yenu ni uzwazwa tu
Ushahidi umeuleta mwenyewe kwenye aya zenu;
Hapo mwanzo kulikuwa na NENO, Hilo NENO lilikuwa kwa MUNGU.... Hivi hii sentensi inataka ufundi gani kuitafsiri eti?
Nikisema hapo mwanzo alikuwepo mgen, nae mgen alikuwako kwa chilubi. Huoni hizi sentensi kuwa tupo wawili?
huyo yohana angesema hapo mwanzo kulikuwa na neno, nalo neno ni Mungu, basi ingekuwa neno pekee. Lakini kumbe hilo neno lilikuwa kwa Mungu. halafu hilo neno nalo kumbe Mungu.
Uthibitisho mwengine kama mna mungu zaidi ya mmoja, ni pale mungu wenu anaposali. Sasa mi nkuulize, mungu wenu anamsalia nani na yeye ni mungu?
Halafu mnajidai mnamfuata Mungu yesu, lakini hamusali kama alivokuwa anasali mungu wenu kwanini?
Mnaposema kuwa Yesu ni Mungu, basi na bikra maria nae ni mungu wenu, kwani yeye ndie amemzaa mungu, hivi kama atakuwa sio mungu, akisha tunaamini kuwa god is all powerful, unafikiri binaadamu angeweza kumzaa Mungu? mtoto wa nyoka huwa nyoka nae...
Fikiria tena unachoamini, mda upo wa kutolewa upumbavu.
Ungejibu basi wewe uliopo nje ya boxnilichoelewa kutoka kwako ni kwamba upo ndani ya box