kukumdogo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 2,867
- 2,746
Injili aliyoshushiwa Isa? Isa yupo kwenye kuruani pekee hakuna sehem nyingine zaidi ya kuruani utampata Isa.hujanionesha Bibilia bado, sisi tumeambiwa tuamini Injili ALIYOSHUSHIWA ISSA IBN MARYAM, sio INJIL ALIOANDIKA MATTAYO NA MASELA WENZAKE BAADA YA KUPIGA WINE! kumbe hujui kutofautisha baina ya kitabu alichoshushiwa Issa na kile alichoandika Mattao na yohane? umeingia mkenge jomba.... nikikwambia unaamini ujin.ga unakataa......
Dini ambayo Mungu anakufa, dini ambayo kitabu kitakatifu kinatungwa na mwanadamu akisha wanalishwa upupu wafuasi na kuambiwa kinatoka kwa Mungu