Jeshi la Polisi ndo linapoteza watu? Heche yuko wapi?

Jeshi la Polisi ndo linapoteza watu? Heche yuko wapi?

Its Tesha

Senior Member
Joined
Oct 6, 2025
Posts
168
Reaction score
604
Nipo hapa kuthibitisha kuwa Jeshi la Polisi nchini chini ya IGP Wambura ndio wanaowaua watu na kuwateka kwa sababu hakuna wakenya wala waganda watakaokuja kuua watu katika taifa letu. Asipoatikana John Heche itakuwa ni aibu kwa taifa haiwezekana mtanzania anachukuliwa mbele ya macho ya watu Elfu 60 kwani inashindikana nini kusema kuwa Heche yupo sehemu fulani whats wrong police!!!!!

Polisi!!!!Polisii!!! mnakera sana.
 
Habari kutoka ndani kabisa huyu makamu mwenyekiti wa chadema ndio ameshapotezwa hatoonekana tena sababu alionekana anakiherehere kuwaaribia watawala ulaji wao hivyo wameona wampoteze na watanzania lazima watalalamika siku mbili watasahau hivyo ndugu zangu jiandaeni maisha mapya bila heche
 
Kwakuwa serikali imeamua kukaa kimya kwa kila kitu hata ikihujumiwa si kitu

Ila wawe ma hadhari makuzi ya kibaolojia yanatumia muda so ikipatikana manipulate yeyote kaxi ni kaxi bila utu
 
Kwakuwa serikali imeamua kukaa kimya kwa kila kitu hata ikihujumiwa si kitu

Ila wawe ma hadhari makuzi ya kibaolojia yanatumia muda so ikipatikana manipulate yeyote kaxi ni kaxi bila utu
Wasiojulikana wamenogewa sasa wanafanya waziwazi kabisa
 
Mbona jambo hilo lipo wazi! Na siyo utekaji tu. Polisi pia ni wauaji sugu wa raia wengi wasio na hatia.
 
Nipo hapa kuthibitisha kuwa Jeshi la Polisi nchini chini ya IGP Wambura ndio wanaowaua watu na kuwateka kwa sababu hakuna wakenya wala waganda watakaokuja kuua watu katika taifa letu. Asipoatikana John Heche itakuwa ni aibu kwa taifa haiwezekana mtanzania anachukuliwa mbele ya macho ya watu Elfu 60 kwani inashindikana nini kusema kuwa Heche yupo sehemu fulani whats wrong police!!!!!

Polisi!!!!Polisii!!! mnakera sana.
Aisee
 
Dawa ni kuondolewa kinga ili mapolisi tuyapandishe vizimbani ili mkono wa sheria ufanye kazi yake hapo vipi wadau?
Mob Justice ni fundisho zaidi kuliko kizimba cha Mahakama, rejea wale TRA waliopigwa vitofa kule kwa Ndevu wakihisiwa kua ni watekaji sasa ikipigwa ile mara 3 au 4 hivi akili lazima ziwarudi wataacha kujifanya wasiojulikana
 
Habari kutoka ndani kabisa huyu makamu mwenyekiti wa chadema ndio ameshapotezwa hatoonekana tena sababu alionekana anakiherehere kuwaaribia watawala ulaji wao hivyo wameona wampoteze na watanzania lazima watalalamika siku mbili watasahau hivyo ndugu zangu jiandaeni maisha mapya bila heche
Aisee
 
Yaani mtu achukuliwe wazi kivile halafu apotezwe? labda kahifadhiwa sehemu fulani watamtoa mambo yakipita
 
Back
Top Bottom