cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Jeshi la Polisi sijui mnatwambia nn watanzania kama kila kukicha watu wanapoteza maisha kwa kupigwa Risasi wakati nyie mpo kuna siri ani kati yenu ya hawa wauaji inauma sana juzi ndugu yangu anafanya biashara ya Mpesa kapigwa risasi jirani kabisa kama hatua ishirini tu kutoka kituo cha polisi tumechoka na matamko yenu ss hivi mnasema wanaomiliki silaha wazirudishe wenyewe mko wapi mpk watu wanazimiliki pasipo vibali!
Mkuu wa Jeshi la polisi tuambie nn kinaendelea?? Katika hili mnatumaliza hii week ya pili kila siku watu wanauawa tumekosa imani na Jeshi la Polisi kama flani inayotizamana na kituo cha polisi mtu anauawa na nyie mnaangalia khaaaaa haya ni maajabu ya Tanzania.
Mkuu wa Jeshi la polisi tuambie nn kinaendelea?? Katika hili mnatumaliza hii week ya pili kila siku watu wanauawa tumekosa imani na Jeshi la Polisi kama flani inayotizamana na kituo cha polisi mtu anauawa na nyie mnaangalia khaaaaa haya ni maajabu ya Tanzania.