Eti bwana! Watu hawajajenga makao ila wanajipitia tu unawaita wahamiaji haramu!?Nashindwa kuuelewa huu msemo wa polisi.Wahamiaji haramu wa kweli wapo lakini hawaguswi!Sasa kama wanakwenda Afrika ya Kusini watakuwaje wahamiaji haramu Tanzania, waachieni waendelee na safari yao hata kama watafika Antactica.
Maana yake hawana vibali vya kuhama nchi, mbona nyie wagumu kuelewaEti bwana! Watu hawajajenga makao ila wanajipitia tu unawaita wahamiaji haramu!?Nashindwa kuuelewa huu msemo wa polisi.Wahamiaji haramu wa kweli wapo lakini hawaguswi!
Kwa hiyo ni watalii????Sasa kama wanakwenda Afrika ya Kusini watakuwaje wahamiaji haramu Tanzania, waachieni waendelee na safari yao hata kama watafika Antactica.
Unaielewa sheria ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?Eti bwana! Watu hawajajenga makao ila wanajipitia tu unawaita wahamiaji haramu!?Nashindwa kuuelewa huu msemo wa polisi.Wahamiaji haramu wa kweli wapo lakini hawaguswi!
Charge sheet yao itasema " Unlawfully entry in the United Republic of Tanzania" haijalishi walikuwa wanakwenda wapiUnaielewa sheria ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?
Cyo wagumu kuelewa..., ila wanafikiri kwa kutumia puaaa.Maana yake hawana vibali vya kuhama nchi, mbona nyie wagumu kuelewa
Ielezee wewe unayeielewa!Unaielewa sheria ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?
Na nyie ni wagumu kuelezea!Maana yake hawana vibali vya kuhama nchi, mbona nyie wagumu kuelewa
wewe bwana mbona unawapa kesi nzito hiyo una uhakika ni haoHao ndiyo wataeleza vizuri kwa nini waliwatupa wenzao sita kwenye mto Ruvu badala ya kuwazika kistaarabu