Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Jeshi la Polisi Bagamoyo mkoani Pwani limekamata wahamiaji haramu 81 waliokuwa wakitokea Mombasa nchini Kenya kuelekea Afrika Kusini baada ya kutelekezwa porini katika kijiji cha Kingani Bagamoyo na baadaye kujitokeza pembezoni mwa bahari ya Hindi katika harakati za kutafuta chakula baada ya kushikwa na njaa.
Chanzo: ITV
Chanzo: ITV