Jeshi la Polisi lawakamata wahamiaji haramu 81 Bagamoyo Mkoani Pwani

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,395
Jeshi la Polisi Bagamoyo mkoani Pwani limekamata wahamiaji haramu 81 waliokuwa wakitokea Mombasa nchini Kenya kuelekea Afrika Kusini baada ya kutelekezwa porini katika kijiji cha Kingani Bagamoyo na baadaye kujitokeza pembezoni mwa bahari ya Hindi katika harakati za kutafuta chakula baada ya kushikwa na njaa.

Chanzo: ITV
 
Kwaiyo polisi watawafanyaje? Maana kuwarudisha Kenya ni gharama kwa mtanzania.
 
Hao jamaa wako on transit so kuwaita ni wahamiaji haramu sio sawa labda sijui maana ya uhamiaji haramu, their intention ain't settling in tanzania!
 
hao walipaswa kukamatwa maeneo ya mpakani mwa nchi...

wangekuwa alshabab wangeshafanya kitu mbaya kama west gate
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom