MASIKITIKO
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 959
- 428
Hawana ushahidi wa kutosha mahakamani,miti yote inateleza kifo cha nyani.
Taarifa nilizopata muda huu
tukio likiwa linaendelea zinaeleza kwamba Jeshi la Polisi limeingia
Ofisi za CHADEMA Makao Makuu Muda Huu Jumapili ya leo, na Lwakatare...
Wanaendelea na Upekuzi...
Wenye Ofisi Hawapo, Wapo Walinzi Tu!!
Walishasema hao jamaa hivi sasa hawataki mchezo.Ni utii bila shuruti mwanzo mwisho.
well done polisi. keep it up mpaka kieleweke
Kama utakua na kumbu kumbu nzuli ni kua mikutano yote aliyo fanya shekh Ilunga ya kuzunguka nchi nzima alikua na kibali cha serkali kilicho ruhusuhusu mutano hiyo. Hakupanga mikakati ya kutishia uhai wa mtu wala amani ya nchi. Lakini tukirudi katika clip ya Lwakatale ni imejaa uhasama na kutishia uhai wa waandishi wa habar kama kibanda etc. Sasa nani gaidi hapo? Usiongozwe na fikra kiza weweee!ndugu yangu
Ramadhani Ighondu wa Dr ulimboka, wezi wa epa, Ustadh Ilunga na Lwakatale kama ungepanga mtiririko wa matokeo ya
uhalifu namba moja ni lipi? Nisiiamini wewe ni mmota wa wahitimu wa form 1v mwaka 2012 matokeyo mabaya kabisa.
tupangie mtiririko wa hayo matukio lipi lilianza kama namba moja..... tuone kwamba wewe sio kilaza ila mkali flani vile!
Hivi mshitaki wa Lwakatare ni nani? Si ajitokeze tuone????!!!!
nendeni mkawazuie au nyie nguvu yenu ni maandamano tu jikusanyeni mkawaoneshe nguvu yenu ya umma mliyotaka kwenda nayo kesho mahakamani
sasa wanatafuta nini camera iliyotumika?kwani huo ushahidi walionao hauwatoshi?tatizo wanajibu sasa wanatafutia swali.na mbona kova alisema suala la LWAKATARE halikihusu chama?sasa huko wanaenda kutafuta nini?hawa watu bana ovyoooo
Atufanyi kazi kwa mashinikizo ya watu kama nyinyi.nendeni na huo ushahidi mahakamani na sio kuendelea kumtesa mgonjwa wa kisukari.
Mkuu, Wahusika gani unataka wakati mleta uzi amesema wako na Lwakatare. Lwakatare pia ni mhusika wa ofisi. Kwani yeye ofisi yake ilikuwa wapi kama siyo kwenye hilo jengo la ofisi.
Kumbuka polisi wanapambana na wanasheria wazuri sana wa CHADEMA, kwa hiyo kwa sasa kila kitu wanachokifanya lazima wanakuwa wamekifanyia homework.
Labda kielewe kwenye ule mpango wa kupandikiza vielelezo!
Na kipindi hiki mtagonga mwamba!
Time will tell
Kama utakua na kumbu kumbu nzuli ni kua mikutano yote aliyo fanya shekh Ilunga ya kuzunguka nchi nzima alikua na kibali cha serkali kilicho ruhusuhusu mutano hiyo. Hakupanga mikakati ya kutishia uhai wa mtu wala amani ya nchi. Lakini tukirudi katika clip ya Lwakatale ni imejaa uhasama na kutishia uhai wa waandishi wa habar kama kibanda etc. Sasa nani gaidi hapo? Usiongozwe na fikra kiza weweee!
Taarifa nilizopata muda huu tukio likiwa linaendelea zinaeleza kwamba Jeshi la Polisi limeingia Ofisi za CHADEMA Makao Makuu Muda Huu Jumapili ya leo, na Lwakatare... Wanaendelea na Upekuzi...
Wenye Ofisi Hawapo, Wapo Walinzi Tu!!
mwizi wa simu za kichina anachangia kichina chinanendeni mkawazuie au nyie nguvu yenu ni maandamano tu jikusanyeni mkawaoneshe nguvu yenu ya umma mliyotaka kwenda nayo kesho mahakamani
mwizi wa simu za kichina anachangia kichina china