Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Hii barua mbona haijasainiwa?
Wangekuwa wana uwezo aisee wangeizima mitandao ya kijamii. Sio week days wala weeekemd mwendo mi mpera mpera. Angalau sasa hawalipwi mishahara bure.Wameshikwa pabaya na mitandao.. Au Jf inawakaba koo?
Official statement bila signature ni valid?
tutajuaje kuwa na hii taarifa nayo si uzushi mwingine pia??
hatarii !!Wametengua haraka teuzi mpya tetetetetetete
Barua za siku hizi hasisainiwi.Hii barua mbona haijasainiwa?
Hata mimi naweza tengeneza
watu wameshikwa pabaya sanaWametengua haraka teuzi mpya tetetetetetete
Maana haina hata signature.tutajuaje kuwa na hii taarifa nayo si uzushi mwingine pia??
yeah.....Maana haina hata signature.