Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Hawajawakamata na hawajawaua. Kwa kawaida ya polisi tungeshaonyeshwa silala zilizorejeshwa na miili ya majambazi hao. Kana wamesema wamewapata na kuwaua ni kwa sababu hayo ndo maneno yanayopendeza masikioni mwa mkuu.Wameshindwa kuwakamata mpaka wakawauwa?
Au ndicho walichofundishwa ukikamata jambazi mtoe uhai.
Polisi ya viwanda bana!!!