Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
zamani nilikuwa na hofia sana vita ya wenyewe kwa wenyewe lakini nimekuja kugundua kamwe kwasasa halitatokea maana wananchi upande mmoja na kwa bahati mbaya hata polisi wengi wako upande wa wananchi wanaweza kuwa upande wa mafisadi mwazo wa vita lakini watajiunga na ukweli...mafisadi lianzisheni