Angefanyaje, Funguka mkuu tuelewe hizo mbinu maana nasafari ya kwenda kumuona Babu Seya.!
!
Huyu bwana nae kashindwaje kunata na binti? Simu haziingizwi kisoro namna hiyo
!
!
Huyu bwana nae kashindwaje kunata na binti? Simu haziingizwi kisoro namna hiyo
Kwann isiruhusiwe? Mbona sana tukwani inaruhusiwa kumpelekea chakula mfungwa?
Kwann isiruhusiwe? Mbona sana tu
whats your intetionNikimuangalia huyu jamaa kwenye paji lake la uso naona ni wa imani pendwa.
Polisi wambinye vizuri lazima kuna kitu hapo.