Jeshi la Magereza katika gereza la mahabusu Keko, limefanikwa kukamata simu 5 za kisasa (smartphone)

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
'Jeshi la Magereza katika gereza la mahubusu Keko, limefanikwa kukamata simu 5 za kisasa (smart phones) zilizokuwa zingizwe gerezani huko na kupewa wafungwa kwa ajili ya mawasiliano jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Simu hizo ziliwekwa kwenye mifuko ya nailoni na kufichwa kwenye chakula. Jeshi hilo linamshikilia kijana aliyeleta chakula hicho.!


 
Jeshi la Magereza katika gereza la mahubusu Keko, limefanikwa kukamata simu 5 za kisasa (smart phones) zilizokuwa zingizwe gerezani huko na kupewa wafungwa kwa ajili ya mawasiliano jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Simu hizo ziliwekwa kwenye mifuko ya nailoni na kufichwa kwenye chakula. Jeshi hilo linamshikilia kijana aliyeleta chakula hicho.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…