Jeshi la IDF linaendelea kuwashambulia Hamas

Jeshi la IDF linaendelea kuwashambulia Hamas

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
Baada ya Hamas kushindwa vita waliyoianzisha wao wenyewe Oct 07,2023 sasa hivi wanafuatwa popote walipo na kuuwawa na wengine waliokuwa wamebaki kwenye mahandaki

Njaa imeanza kuwatoa huko na wanaojisalimisha wanatiwa mbaroni na wanaokaidi wanaangamizwa papa kwa papo.

Sasa hivi hakuna Nywinywinywi wala nyonyonyo kwa Hamas

Webabu mdogoye Adiosamigo gTurn na Mzee wa UHARO Ritz

IMG_4610.jpeg


IMG_4612.jpeg
 

Attachments

  • IMG_4613.jpeg
    IMG_4613.jpeg
    142.4 KB · Views: 8
Hamas Bado ni nightmare Kwa mzayuni, ni kama kimbwengo japo mmewahadaa Kwa cease fire ya mchongo lakini na wao wanajipanga upya hii vita Gaza huwezi kuikalia ile
 
Hamas Bado ni nightmare Kwa mzayuni, ni kama kimbwengo japo mmewahadaa Kwa cease fire ya mchongo lakini na wao wanajipanga upya hii vita Gaza huwezi kuikalia ile
Mpigania khaki
 
Back
Top Bottom