Daraja2
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 285
- 346
Ahsante sana mama kwa kuonesha "utu" kumkumbuka "rafiki yako katika kazi"
Kwa uzee wangu, nimeona umetekeleza wosia wa wazee wetu wa kale "Kama ulikuwa unawatembelea wazazi wako wakiwa hai (kijijini) kwa kuwasalimu na kuwapa zawadi basi endelea na utaratibu huo hata watakapo kuwa wameondoka kwa waliokuwa marafiki zao (baba & mama).
Hakika MAMA umefanya jambo la maana sana na linalompendeza mungu.
Kwa kuendeleza undugu zaidi mpe "unaibu waziri" wa wizara aliyoanza nayo baba yake, pia ikikupendeza zaidi muweke kwenye kamati ya kampeni awe anashika "maiki" ukiizunguka nchi.
"YAANI AKIONGEA HUKU AKITABASAMU, UKIMUANGALIA USONI KWA JICHO LA ROHONI UNAONA KABISA ANA UKATILI FULANI HIVI WA MAGU, HAKUNA HAJA YA DNA" napendekeza apewe zile wizara ngumu "zilizoshindikana" aendelee "kupiga spana" kwa watumishi wazembe 😂😁🤣 !!!
Kwa uzee wangu, nimeona umetekeleza wosia wa wazee wetu wa kale "Kama ulikuwa unawatembelea wazazi wako wakiwa hai (kijijini) kwa kuwasalimu na kuwapa zawadi basi endelea na utaratibu huo hata watakapo kuwa wameondoka kwa waliokuwa marafiki zao (baba & mama).
Hakika MAMA umefanya jambo la maana sana na linalompendeza mungu.
Kwa kuendeleza undugu zaidi mpe "unaibu waziri" wa wizara aliyoanza nayo baba yake, pia ikikupendeza zaidi muweke kwenye kamati ya kampeni awe anashika "maiki" ukiizunguka nchi.
"YAANI AKIONGEA HUKU AKITABASAMU, UKIMUANGALIA USONI KWA JICHO LA ROHONI UNAONA KABISA ANA UKATILI FULANI HIVI WA MAGU, HAKUNA HAJA YA DNA" napendekeza apewe zile wizara ngumu "zilizoshindikana" aendelee "kupiga spana" kwa watumishi wazembe 😂😁🤣 !!!