Jesca Msambatavangu ndiye nyoka wa SHABA, CCM Iringa Mjini

Jesca Msambatavangu ndiye nyoka wa SHABA, CCM Iringa Mjini

Ushindi Daima

Member
Joined
May 4, 2013
Posts
92
Reaction score
27
Salaam wana jamvi!
Naandika uzi huu wa kitafiti kama sehemu ya JAMII TALKS, nikiwa na furaha ya ushindi wa timu yangu Liverpool kutinga fainal ya CL kwa kishindo dhidi ya Barcelona.

Nirudi kwenye mada, last week nimetimiza miezi 4 toka nihamie Iringa kikazi nikiishi eneo la Mkimbizi, nimehamia Iringa nikitokea Mkoa wa Arusha.
Miezi 2 baada ya uenyeji nilianza kufuatilia siasa za Iringa Mjini na siku ya Jumamosi nilibahatika kwa mara ya kwanza kufuatilia mkutano wa Mbunge wa hapa Mheshimiwa Peter Msigwa uliofanyika kwenye uwanja wa Mwembetogwa.
Mkutano wa mbunge Msigwa ulikuwa na watu wengi na ulikaa kisiasa zaidi ingawa huyu Mchungaji sio wa kupuuzwa na kubezwa na CCM kama utafiti wangu unavyoonesha.
Kinywa cha Msigwa mina maneno ya kuudhi na kukera ambayo kwa wafuasi wake bado yanawapa morali na hamasa.
Jimbo la Iringa Mjini ni dogo lenye Kata 18 na Tarafa 1 pekee na limezungukwa na majimbo Kalenga,Kilolo na Isimani ambayo yote yapo CCM kwa Wabunge na Halmashauri.

Kwenye utafiti wangu ndipo nikakutane na jina la JESCA MSAMBATAVANGU almaafuru Madame Jesca.
Nikataka nimfahamu ni nani ndipo nikaanza kumfuatilia kupita maeneo mbalimbali ya wenye kunywa bia hadi ulanzi, wenye kula Mkate hadi Kande, wenye kukaa Uzunguni,Uhindini hadi Uswahilini, wenye kuangalia mpira hotelin hadi vibandaumiza.
Nikaona nafasi ya huyu Madame Jesca kama ndiye NYOKA WA SHABA kwa CCM hapa jimbo la Iringa Mjini.
Nimeambiwa huyu Mama amewahi kuwa Diwani wa kuchaguliwa Kata ya MIYOMBONI KITANZINI ambapo ndio Kata ya mjini aliingia mwaka 2012 kwenye uchaguzi mdogo na kuhudumu hadi mwaka 2015 alipochukua fomu ya kuomba ridhaa ya wana CCM kuwa mgombea Ubunge lakini hakufanikiwa.
Mwaka huo 2012 akachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa na mwaka 2017 mwezi Machi alivuliwa uanachama wake na Kikao cha NEC kilichoketi Dodoma.
Madam Jesca alipata bahati ya kuwa mjumbe wa Bunge la Katiba 2014.
Kisiasa nje ya kuvuliwa uanachama wake inasemekana huyu Mama badi alibaki na imani yake ya Chama Cha Mapinduzi ingawa alikuwa hashiriki mikutano ya kisiasa lakini aliisemea pale CCM ilipokosolewa na kudhihakiwa na wapinzani.
Tarehe 18 Disemba,2018 Madam Jesca aliwekwa chini ya uangalizi maalum wa chama chini ya kikao cha NEC kilichoongozwa na JPM baada ya kuandika barua ya kuomba msamaha baada ya kuvuliwa uanachama na wenzake 12 wakiitwa Wasaliti.
Ila kwenye sherehe za miaka 42 ya kuzaliwa kwa CCM mlezi wao Mzee Mizengo Pinda alimtambulisha na kumpandisha mbele kuwasalimia wanachama wa CCM wa Iringa Mjini.
Wanachama walimshangilia sana na kumuomba mzee Pinda aseme kama chama wamemsamehe na kama bado wanamuombea msamaha kwa Mwenyekiti JPM.
Vijana wa Iringa mjini na Kina Mama ambao ndio wapiga kura wengi wanasema Madam Jesca anafikika kwa ukaribu na hujali sana shida za watu wanyonge, hajivuni na kipato chake zaidi ugawana na wahitaji.
Pia wanasema ni mtu wa kujichanganya kwenye shughuli za kijamii pasipo majivuno.

Nimebahatika zaidi kumfahamu Madame Jesca Msambatavangu mwenye umri wa miaka 43, mkulima na mjasiriamali mwenye shule ya msingi iliyopo Ipogolo na sekondari iliyopo Kitwiru zinajulikana kwa jina la STAR INTERNATIONAL SCHOOLS pia ana duka la kubadilishia fedha( Bureau de Change) ambayo ipo jengo la NSSF Iringa Mjini.
Analima ndani na nje ya Iringa kilimo biashara.

Huyu ndiye JESCA MSAMBATAVANGU ambaye CCM wanatakiwa kumfanya Nyoka wa shaba ili awavushe na kukomboa jimbo la Iringa Mjini.
Kwa utafiti wangu sijaona mwingine zaidi yake ingawa wapo wanaosemwa.
Alipata ajali ya kisiasa ila amesimama imara.

Wasalaam,

Dk Julius Nnko
Hospital ya Rufaa Iringa
Mkimbizi.
images.jpeg
jesca.jpeg
 
Dk. Julius Nnko hayo mambo ya Iringa waachie wahehe wenyewe.
Nikupe tu siri Msigwa bila kumuibia kura hapo Iringa atatawala hadi afe, wahehe hawatakagi ujinga.
Mwakani CCM wamepanga kumpa ubunge Dr.Mahiga kwa gharama yoyote, mwambie Jesca najua yupo humu, asipoteze hela zake bure, mbunge ni Mahiga.
 
Mleta mada ni chadema huyo mama Jesca Msambatavangu ndie alimsaidia Msigwa kushinda ubunge iringa mjini na chadema kupata ushindi mkubwa sababu alikuwa timu Lowasa. Mnataka arudi mpite kwa mtelemko 2020.Huyo mama alikuwa CCM Kama kibaraka wa chadema na Lowasa.Yeye na mwenzie Kabongo ambaye alikuwa mweka hazina wa CCM wa pesa za uchaguzi waliifanyia kitu kibaya Sana tena CCM iringa mjini na kwa kazi nzuri ya usaliti Mara baada ya uchaguzi Kabongo alipewa ubunge viti maalum na chadema . Chadema mumeanza kampeni arudi baada ya kuona 2020 iko around the corner.Msigwa anahaha ndio maana kutwa anaitisha mikutano ya hadhara anayobeba watu Toka maeneo ya mbali ili mikutano yake ionekane ina umati wa watu .Hajiamini.Nina wasi hata huu Uzi aweza kuwa Msigwa ndie kaandika akampa Dr.Nko alete uzi humu kwa niaba yake.Dr fanya kazi ya kutibu watu acha kuzurura vilabuni na vijiweni
 
Kama Lowassa karejea CCM iweje uamini mwanamama Jesca hajarejea pia...
Mleta mada ni chadema huyo mama Jesca Msambatavangu ndie alimsaidia Msigwa kushinda ubunge iringa mjini na chadema kupata ushindi mkubwa sababu alikuwa timu Lowasa. Mnataka arudi mpite kwa mtelemko 2020.Huyo mama alikuwa CCM Kama kibaraka wa chadema na Lowasa.Yeye na mwenzie Kabongo ambaye alikuwa mweka hazina wa CCM wa pesa za uchaguzi waliifanyia kitu kibaya Sana tena CCM iringa mjini na kwa kazi nzuri ya usaliti Mara baada ya uchaguzi Kabongo alipewa ubunge viti maalum na chadema . Chadema mumeanza kampeni arudi baada ya kuona 2020 iko around the corner.Msigwa anahaha ndio maana kutwa anaitisha mikutano ya hadhara anayobeba watu Toka maeneo ya mbali ili mikutano yake ionekane ina umati wa watu .Hajiamini.Nina wasi hata huu Uzi aweza kuwa Msigwa ndie kaandika akampa Dr.Nko alete uzi humu kwa niaba yake.Dr fanya kazi ya kutibu watu acha kuzurura vilabuni na vijiweni
 
Kama Lowassa karejea CCM iweje uamini mwanamama Jesca hajarejea pia...
Kurejea kwaweza pia kutafuta nafasi ya kuisaliti CCM part Two..Part one ilikuwa 2015 inatafutwa part two 2020.Msimamo ni kitu Cha msingi na muhimu kwenye siasa.Alichoifanyia CCM yeye na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es salaam Madabida ni kibaya mno kwa kweli.Hawa wenyeviti wawili .Ni vizuri waachwe wabaki tu wanachama wa kawaida tu ndani ya CCM na Lowasa wao
 
Hao ndio waliivuruga ccm huko iringa. Wapo tayari kuvunja misingi ya chama wanapoona mahali kuna maslahi. Akiwa mwenyekiti wa ccm mkoa kipindi cha kutafuta kura za maoni wagombea alidiriki kumzimia magufuli jenereta ye akiwa kambi ya lowasa. Kitendo kile kilimkwaza sana magufuli. Kwao ccm wanaona hayo makundi yalikuwa yanazamisha chama na kukifanya chama miliki ya watu wachache. Kama ni ubunge ccm ya magufuli ikiutaka inaupata tu. Ye aendelee kujifunza kuheshimu watu maana hujui kesho ya mtu.
 
Salaam wana jamvi!
Naandika uzi huu wa kitafiti kama sehemu ya JAMII TALKS, nikiwa na furaha ya ushindi wa timu yangu Liverpool kutinga fainal ya CL kwa kishindo dhidi ya Barcelona.

Nirudi kwenye mada, last week nimetimiza miezi 4 toka nihamie Iringa kikazi nikiishi eneo la Mkimbizi, nimehamia Iringa nikitokea Mkoa wa Arusha.
Miezi 2 baada ya uenyeji nilianza kufuatilia siasa za Iringa Mjini na siku ya Jumamosi nilibahatika kwa mara ya kwanza kufuatilia mkutano wa Mbunge wa hapa Mheshimiwa Peter Msigwa uliofanyika kwenye uwanja wa Mwembetogwa.
Mkutano wa mbunge Msigwa ulikuwa na watu wengi na ulikaa kisiasa zaidi ingawa huyu Mchungaji sio wa kupuuzwa na kubezwa na CCM kama utafiti wangu unavyoonesha.
Kinywa cha Msigwa mina maneno ya kuudhi na kukera ambayo kwa wafuasi wake bado yanawapa morali na hamasa.
Jimbo la Iringa Mjini ni dogo lenye Kata 18 na Tarafa 1 pekee na limezungukwa na majimbo Kalenga,Kilolo na Isimani ambayo yote yapo CCM kwa Wabunge na Halmashauri.

Kwenye utafiti wangu ndipo nikakutane na jina la JESCA MSAMBATAVANGU almaafuru Madame Jesca.
Nikataka nimfahamu ni nani ndipo nikaanza kumfuatilia kupita maeneo mbalimbali ya wenye kunywa bia hadi ulanzi, wenye kula Mkate hadi Kande, wenye kukaa Uzunguni,Uhindini hadi Uswahilini, wenye kuangalia mpira hotelin hadi vibandaumiza.
Nikaona nafasi ya huyu Madame Jesca kama ndiye NYOKA WA SHABA kwa CCM hapa jimbo la Iringa Mjini.
Nimeambiwa huyu Mama amewahi kuwa Diwani wa kuchaguliwa Kata ya MIYOMBONI KITANZINI ambapo ndio Kata ya mjini aliingia mwaka 2012 kwenye uchaguzi mdogo na kuhudumu hadi mwaka 2015 alipochukua fomu ya kuomba ridhaa ya wana CCM kuwa mgombea Ubunge lakini hakufanikiwa.
Mwaka huo 2012 akachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa na mwaka 2017 mwezi Machi alivuliwa uanachama wake na Kikao cha NEC kilichoketi Dodoma.
Madam Jesca alipata bahati ya kuwa mjumbe wa Bunge la Katiba 2014.
Kisiasa nje ya kuvuliwa uanachama wake inasemekana huyu Mama badi alibaki na imani yake ya Chama Cha Mapinduzi ingawa alikuwa hashiriki mikutano ya kisiasa lakini aliisemea pale CCM ilipokosolewa na kudhihakiwa na wapinzani.
Tarehe 18 Disemba,2018 Madam Jesca aliwekwa chini ya uangalizi maalum wa chama chini ya kikao cha NEC kilichoongozwa na JPM baada ya kuandika barua ya kuomba msamaha baada ya kuvuliwa uanachama na wenzake 12 wakiitwa Wasaliti.
Ila kwenye sherehe za miaka 42 ya kuzaliwa kwa CCM mlezi wao Mzee Mizengo Pinda alimtambulisha na kumpandisha mbele kuwasalimia wanachama wa CCM wa Iringa Mjini.
Wanachama walimshangilia sana na kumuomba mzee Pinda aseme kama chama wamemsamehe na kama bado wanamuombea msamaha kwa Mwenyekiti JPM.
Vijana wa Iringa mjini na Kina Mama ambao ndio wapiga kura wengi wanasema Madam Jesca anafikika kwa ukaribu na hujali sana shida za watu wanyonge, hajivuni na kipato chake zaidi ugawana na wahitaji.
Pia wanasema ni mtu wa kujichanganya kwenye shughuli za kijamii pasipo majivuno.

Nimebahatika zaidi kumfahamu Madame Jesca Msambatavangu mwenye umri wa miaka 43, mkulima na mjasiriamali mwenye shule ya msingi iliyopo Ipogolo na sekondari iliyopo Kitwiru zinajulikana kwa jina la STAR INTERNATIONAL SCHOOLS pia ana duka la kubadilishia fedha( Bureau de Change) ambayo ipo jengo la NSSF Iringa Mjini.
Analima ndani na nje ya Iringa kilimo biashara.

Huyu ndiye JESCA MSAMBATAVANGU ambaye CCM wanatakiwa kumfanya Nyoka wa shaba ili awavushe na kukomboa jimbo la Iringa Mjini.
Kwa utafiti wangu sijaona mwingine zaidi yake ingawa wapo wanaosemwa.
Alipata ajali ya kisiasa ila amesimama imara.

Wasalaam,

Dk Julius Nnko
Hospital ya Rufaa Iringa
Mkimbizi.View attachment 1091253View attachment 1091254
Uyu Dada aachane na siasa, nje ya siasa atafanikiwa sana kwakua ana akili na kipaji cha kutafuta fedha, siasa za bongo zinampotezea muda.
 
Uyu Dada aachane na siasa, nje ya siasa atafanikiwa sana kwakua ana akili na kipaji cha kutafuta fedha, siasa za bongo zinampotezea muda.
Mshika mawili moja humpokonyoka hilo Ni swala la muda tu kabla moja halijapokonyoka.Wako wafanyabiashara wengi hujitosa siasa Lakini mwisho wa siku hujikuta biashara zimeathirika Tena pakubwa Sana.Wengi hudhani ukiwa mfanyabiashara mwanasiasa una opportunity nyingi za mikopo ,fursa nk Lakini kwa uzoefu wangu mwisho wa siku biashara huumia tena Sana pamoja na mikopo na fursa kuwepo sielewi kwa nini Ni kitendawili.Mfanyabiashara Kama akiweza kudhibiti nafsi yake asijitose kwenye siasa sio sehemu salama Sana kwa mfanyabiashara in the longrun
 
Baadala ya kuwa mshabiki wa Lipuli ya Iringa au Namungo FC unajiita fans wa Liverpool FC kutoka liverpool UK aka nchi ya mkoloni... Tuache utumwa bwana..Simba anacheza na Coastal union leo pale Taifa itakuwa mechi nzuri sana Simba akipambana kuchukua Uongozi wa Ligi, Ngoja tuone kama Coastal atapindua meza.. Chama langu KMC tumekuwa na msimu mzuri mwaka huu ngoja tuone msimu ujao..VIVA KMC..
 
Dr
Yaani ndani ya miezi minne uliyokaa Iringa tayari umeshafanya utafiti na kutoka na matokeo?? Miezi minne utibu wagonjwa na wakati huo huo ufanye utafiti? Nafikiri ulichoandika ni umbea na maneno ya vijiweni ambapo wewe ni mwanachama. Nachelea kusema kuwa wewe ni mtu wa ovyo, na hata napata shaka sana na elimu pamoja na uwezo wako.
 
Salaam wana jamvi!
Naandika uzi huu wa kitafiti kama sehemu ya JAMII TALKS, nikiwa na furaha ya ushindi wa timu yangu Liverpool kutinga fainal ya CL kwa kishindo dhidi ya Barcelona.

Nirudi kwenye mada, last week nimetimiza miezi 4 toka nihamie Iringa kikazi nikiishi eneo la Mkimbizi, nimehamia Iringa nikitokea Mkoa wa Arusha.
Miezi 2 baada ya uenyeji nilianza kufuatilia siasa za Iringa Mjini na siku ya Jumamosi nilibahatika kwa mara ya kwanza kufuatilia mkutano wa Mbunge wa hapa Mheshimiwa Peter Msigwa uliofanyika kwenye uwanja wa Mwembetogwa.
Mkutano wa mbunge Msigwa ulikuwa na watu wengi na ulikaa kisiasa zaidi ingawa huyu Mchungaji sio wa kupuuzwa na kubezwa na CCM kama utafiti wangu unavyoonesha.
Kinywa cha Msigwa mina maneno ya kuudhi na kukera ambayo kwa wafuasi wake bado yanawapa morali na hamasa.
Jimbo la Iringa Mjini ni dogo lenye Kata 18 na Tarafa 1 pekee na limezungukwa na majimbo Kalenga,Kilolo na Isimani ambayo yote yapo CCM kwa Wabunge na Halmashauri.

Kwenye utafiti wangu ndipo nikakutane na jina la JESCA MSAMBATAVANGU almaafuru Madame Jesca.
Nikataka nimfahamu ni nani ndipo nikaanza kumfuatilia kupita maeneo mbalimbali ya wenye kunywa bia hadi ulanzi, wenye kula Mkate hadi Kande, wenye kukaa Uzunguni,Uhindini hadi Uswahilini, wenye kuangalia mpira hotelin hadi vibandaumiza.
Nikaona nafasi ya huyu Madame Jesca kama ndiye NYOKA WA SHABA kwa CCM hapa jimbo la Iringa Mjini.
Nimeambiwa huyu Mama amewahi kuwa Diwani wa kuchaguliwa Kata ya MIYOMBONI KITANZINI ambapo ndio Kata ya mjini aliingia mwaka 2012 kwenye uchaguzi mdogo na kuhudumu hadi mwaka 2015 alipochukua fomu ya kuomba ridhaa ya wana CCM kuwa mgombea Ubunge lakini hakufanikiwa.
Mwaka huo 2012 akachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa na mwaka 2017 mwezi Machi alivuliwa uanachama wake na Kikao cha NEC kilichoketi Dodoma.
Madam Jesca alipata bahati ya kuwa mjumbe wa Bunge la Katiba 2014.
Kisiasa nje ya kuvuliwa uanachama wake inasemekana huyu Mama badi alibaki na imani yake ya Chama Cha Mapinduzi ingawa alikuwa hashiriki mikutano ya kisiasa lakini aliisemea pale CCM ilipokosolewa na kudhihakiwa na wapinzani.
Tarehe 18 Disemba,2018 Madam Jesca aliwekwa chini ya uangalizi maalum wa chama chini ya kikao cha NEC kilichoongozwa na JPM baada ya kuandika barua ya kuomba msamaha baada ya kuvuliwa uanachama na wenzake 12 wakiitwa Wasaliti.
Ila kwenye sherehe za miaka 42 ya kuzaliwa kwa CCM mlezi wao Mzee Mizengo Pinda alimtambulisha na kumpandisha mbele kuwasalimia wanachama wa CCM wa Iringa Mjini.
Wanachama walimshangilia sana na kumuomba mzee Pinda aseme kama chama wamemsamehe na kama bado wanamuombea msamaha kwa Mwenyekiti JPM.
Vijana wa Iringa mjini na Kina Mama ambao ndio wapiga kura wengi wanasema Madam Jesca anafikika kwa ukaribu na hujali sana shida za watu wanyonge, hajivuni na kipato chake zaidi ugawana na wahitaji.
Pia wanasema ni mtu wa kujichanganya kwenye shughuli za kijamii pasipo majivuno.

Nimebahatika zaidi kumfahamu Madame Jesca Msambatavangu mwenye umri wa miaka 43, mkulima na mjasiriamali mwenye shule ya msingi iliyopo Ipogolo na sekondari iliyopo Kitwiru zinajulikana kwa jina la STAR INTERNATIONAL SCHOOLS pia ana duka la kubadilishia fedha( Bureau de Change) ambayo ipo jengo la NSSF Iringa Mjini.
Analima ndani na nje ya Iringa kilimo biashara.

Huyu ndiye JESCA MSAMBATAVANGU ambaye CCM wanatakiwa kumfanya Nyoka wa shaba ili awavushe na kukomboa jimbo la Iringa Mjini.
Kwa utafiti wangu sijaona mwingine zaidi yake ingawa wapo wanaosemwa.
Alipata ajali ya kisiasa ila amesimama imara.

Wasalaam,

Dk Julius Nnko
Hospital ya Rufaa Iringa
Mkimbizi.View attachment 1091253View attachment 1091254
Hongera kwa ushindi,Pia nilikuwepo kwenye mkutano wa Msigwa, Bahati nzuri pia naishi Mkimbizi Bima.Nakushauri endelea kulisoma jimbo la Iringa mjini pia wasome vizuri hawa Watoto wa Chief Mkwawa.Lakini pia Msigwa kwenye mkutano ule aliongea Lugha za kizalendo sana kwa WOTE walioongoza jimbo la Iringa lakini pia aliongea lugha ya ukali kwa wanao tumia vyeo vyao kuwanyanyasa watumishi hasa Madaktari.UKWELI UTATUWEKA HURU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom