Taken kitamboNahitaji mshenga kwa pande hizo
Namrudishia mjuba chakeTaken kitambo
Huko mbeleni aje atuambie kuwa ben saanane yuko wapiMgombea wa Nafasi ya Viti Vya UBUNGE Viti Maalumu CCM Kupitia Vijana tokea Mkoani Geita, Jesca John Magufuli akijitambulisha Mbele ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa UVCCM Leo Dodoma
Unachokitaka wewe ndio mjuba alikifata, so hawezi kukubali kukiachia.Namrudishia mjuba chake
Yeye ndiye IGP kwani?Huko mbeleni aje atuambie kuwa ben saanane yuko wapi
Kwanini? Kwani team magufuli ndio marafiki wa mama?Kwanza wajumbe hawataki hata kumuuliza maswali.Vile ubunge ni given kwake daaah
Mkuu hawezi kosa ubunge huyu kabisa kwasababu nyingiiiiiiii 1000000Kwanini? Kwani team magufuli ndio marafiki wa mama?
Tuseme hujui job description ya Chawa?Inatokeaje mtu anachukua kadi ya uanachama mwaka huu, anapitishwa kwenye mchakato na kisha kupewa jukumu kubwa la kuwakilisha vijana wa CCM (maana hawawakilishi vijana wengine)?
Kuna vijana ndani ya chama wamekitumikia tangu watoto, wamekitolea jasho kwa uwezo na akili zao, wanakipambania kwenye hali zote na hasa vipindi vya uchaguzi. Lakini hawapewi hizo nafasi?
Angalau miaka ya nyuma kulikua na jina mojamoja linachomoza nje ya yale tuliyoyazoea ili kuwapa nafasi na kundi la wachache kuonja keki ya taifa, ila hali ya sasa inakatisha tamaa.
Nakumbuka miaka ya 2013 hivi nikiwa mwana CCM niliomba nafasi ya uongozi tawi la chuo, nilikatwa kwenye mchujo kwasababu niliochuana nao walikua wamenizidi muda wa kuwa kwenye chama, na nilikubaliana nalo hilo kwasababu hauwezi kwenda kupambania changamoto usizozifahamu.
Nadhani kuibuka kwa hilo kundi la chawa kutakua kumechangia hili tatizo kweli, all in all kama waliomo wameridhia na wanashangilia matokeo yakitoka, basi ni vema.Tuseme hujui job description ya Chawa?
1.Kuwapisha watoto wa wakubwa kwenye nafasi za Uongozi hata kama hawajui chochote
2.Kutumika kama toilet paper na kuwa dumped baadae.
3.Wewe na uzao wako muwe tayari kuwa ngazi ya mafanikio ya watoto wa wakubwa.
Uliomba kazi ya uchawa bila kujua unataka nini? 😂🤣