Jerusalem kwa mujibu wa BBC

Unashangaa Ibrahim wa mbali hivyo ,yesu Mwenyewe ni muislam ukiristo ni upagani hakuna dini km hyo
 
Umefafanua vizuri
 
Hivi na wakristo wakiamua kumuunga mkono trumph na Israel katika hii issue mambo yatakuaje..mi nadhani busara zaidi ingetumika kuliko matumizi ya nguvu kama ilivyo ssa
Busara ni kila mtu atafte kwao na aende. Suala la urithi watoto wa michepuko haliwahusu
 
Mkuu inaonekana umeishi israel!
 
Nijibu.

Huyo nabii Suleiman ailikua Muarab. Eti alijenga kibla. Hekalu la Wayahudi mmejipendekeza kuita kibla ya waislam sasa nataka kuwanyanganya. Walijenga wayahudi
 
Huyo nanihii alizaliwa miaka 557 baada ya Kristo sasa sijui hayo mengine yanatoka wapi[emoji33] [emoji33]
 
Ha ha ha...Ukiwapa Israeli nzima wataanza kuchinjana shia na suni halafu watamsingizia muamerica
 
Interesting!!!kumbe muhamed nae alipaa mbinguni?aisee nilikuwa silijui hili,ila mbona nasikia alikufa kwa sumu na akazikwa ardhini?hapa pakoje hapa!
 
Honestly I don't care much who is god to who. That is their business. Ninachokisema ni kwamba nifahamishwe uhusiano wa waislam na Jerusalem!
Rudia soma taarifa BBC
 
No hakuna uthibitisho wa kuwa Mohhamed alipaa mbinguni kinachoeleweka ni kwamba alifariki na kuzijwa huko Saudia ya sasa kwani kijakazi aliezaa na Ibraham alitimuliwa na ktk kizazi chake ndiko Mohhamed alizaliwa
 
Acha kudanganya nabii Suleiman alijenga hekalu takatifu LA wayahudi na sio msikiti, mji wa Jerusalem ulipigwa na hekalu likavunjwa, hapo palipovunjwa hekalu ndo akaja muhamad akajenga msikiti wake, unajua kwa nini? ili aweze kuclaim kwamba Quran ndo kitabu cha mwisho na final baada ya tourat na injili. kwenye huo msikiti mpaka Leo kuna mabaki ya ukuta w hekalu LA wayahudi...sasa eneo hilo linagombaniwa Muislam anataka apate control ili kuonesha kwamba Uislamu ni dini ya final baada ya uyahudi na ukristo, na myahudi Naye anapataka ili arudishe hekalu lake lililobomolewa, hapo ni dini mbili zinafight ili ziweze kuonesha existance zao za kwenye maandiko yao...sasa hapo solution ni mwenye nguvu anakua juu ya mwenzake...ubabe ubabe...hakuna cha amani hapo
 
hhhhhhhhhhuhkhgujjh
Zero Brain Mkuu ... Unaanzaje kuuliza Ukiristo ni dini?
 
Honestly I don't care much who is god to who. That is their business. Ninachokisema ni kwamba nifahamishwe uhusiano wa waislam na Jerusalem!
Je umeisoma hiyo taarifa ambayo BBC wameelezea kwa ufupi kuhusu Jerusalem na historia ya hizi dini,uyahudi, ukristo na uislam? Kama utakuwa umesoma na fikra zako ukaziweka huru utakuwa umepata hata kamwanga kidogo au kama unaona uvivu kusoma na ukabaki na misimamo au mawazo uliyofundishwa au kusikia tu bila hata kuhoji chochote ,sidhani kama utawezwa kuelezewa huo uhusiano unaouhitaji wewe.
 
ha hahaa...mzozo wa Israel na paleastina ni wa kidini kama hujui. jiulize kwa nini linapotokea tamko lolote juu ya mahali hpo wanaoreact ni waislamu duniani kote sio waarabu tu? mfano tamko LA juzi LA trump wamendamana mpaka waislam wa Indonesia ambao sio waarabu. chanzo ni dome of the rock
 
hiyo SUHUFI wewe mwenyewe hujui hata ni kitu gani ndo maana umeiita "KITU" tuambie suhufi ni kitabu kipya?
 
Honestly I don't care much who is god to who. That is their business. Ninachokisema ni kwamba nifahamishwe uhusiano wa waislam na Jerusalem!
Umeisoma mada yote na kuielewa???
 
Kama wewe ni Mkristo mwenzangu ukasome biblia vyema.
Ibrahimu alizaa Ishmael kwa kijakazi wake Hijra, ambaye ni chimbuko la uislam, pia alimzaa Isaka kwa mkewe Sarah ambaye ni chimbuko la Wayahudi na Wakristo.
 
Sema tu Waisrael walizubaa jamaa wakateka .
waIsrael ile ni nchi yao waisram wanapaswa kulijua hilo.Historia yao niyakuunga unga Kuhusu Yerusalemu
 
Kwann mnamnenea nabii wa mungu na baba waiman ibrahim kua alikua namwana haram?inamaana ibrahim alizin?hakika ninyi kizaz chanyoka mnaotafuta ishara hamtapata ishara wanafiki ninyi mnaomfanananisha baba wa iman nauzinifu hakika mtachomwa moto na mungu iku ikifika,
 
Ugomvi mkubwa uliopo watu wanaukimbia wnaitukuza israili wakat yenyewe ndo ilioleta huu ugomvi kwakushirikiana na wamarekan,huu mji wa jerusalem hawakua waislam wameugombania uwe wao hapn bali israili imeuchukua wote sasa ikidai niwakwake inamaana punde kidogo wataweka utaratibu kwasababu wamesema nimjimkuu wao,,wapelestina wao wanataka jerusalem magharibi uwe ndo mji wao mkuu najerusalem mashariki uwe mji mkuu wa israili,lakin wo waisraili wanataka mjiwote uwe wao,hapo nan mgomvi?je nahao jumuiya ya ulayaniwaislam?

Mbona wanampiga trump nanetanyau?achen kuziba masikio nakufunga macho yenu.mnajua fika nanmbaya ila udin umewawekambele,ila naamin hata ninyi wkristo mnaomshabikia muzrael itakua hamumjui ,kwan kwahakika hayuko hata chembe naninyi,

Izrael alishalaaniwa na mungu kwan kila nabii alieletwa kwao walimuua au kumpinga ndomana yesu aliwaambia jiwe lililowashinda waashi limekua jiwe kuu lapemben ufalme huu utahama kwenu nakwenda nchi nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…