Jerusalem is ours whether you want or not!

Jerusalem is ours whether you want or not!

The headquarter of religious pope is Vatican and now we are establishing a world ruler headquarters (the black Pope). Very conspiring
 
Maandiko yanasema; maandiko yapi hayo? Yale mnayoyatukana kila siku? Ninyi watu ni manafiki wa kiwango cha kuzimu. GOD BLESS YOUR PEOPLE, GOD BLESS ISRAEL. AMEN.


Jerusalem to host Israel’s main gay pride parade — report


Backers of shift from Tel Aviv to capital hope to highlight issue of equal rights for LGBT community





Israel’s main gay pride parade will reportedly take place this year in Jerusalem, rather than in Tel Aviv where it is traditionally held.
 
Wanategemeana mkuu, usidhani Marekani hutoa msaada kwa Israel bila kufaidika lolote, CIA wanaitegemea Sana MOSSAD kiintelijensia, Marekani inatoa misaada mingi ya kifedha na kijeshi kuliko nchi yoyote Duniani, wanafanya hivyo ili wapate mengi kutoka kwa Israel, pamoja na yote, Israel iko fit hata Kama US hawataisaidia, inatengeneza silaha yenyewe za kivita zenye high quality mno, India na mataifa mengine wanaitegemea Israel kivita, na India hununua silaha Israel, Israel iko fit bila msaada wa US, rejea six days war, Israel haikusaidiwa na US kipindi hicho, rejea 90 minutes at Entebe, Israel haikusaidiwa kuwakomboa mateka wake.
Kubalini ukweli kuwa Israel iko vizuri mtabakia mmekalili US.


NI KWELI ISRAELI IKO VIZURI SANA ANGALIA MASHOGA HAPO KWENYE PICHA

GAY PRIDE IN TEL AVIV


200,000 party at Israel Gay Pride Parade, region's biggest



1150x647
 

NI KWELI ISRAELI IKO VIZURI SANA ANGALIA MASHOGA HAPO KWENYE PICHA

GAY PRIDE IN TEL AVIV


200,000 party at Israel Gay Pride Parade, region's biggest



1150x647
kwani Tanzania Hakuna mashoga? tena wengi ni wana ccm.
 
Hao ni wadhungu mambo leo wamevamia nchi kama walivyo fanya America, Australia nk..,,
Hamna la ajabu!
Mpalestina atulie tu maana yeye pia ni mvamizi!
Ngoma draw!
 
Hivi Wayahudi wakihamishia Gay pride parade inayofanyikia Tel Aviv kila mwaka kwenda Jerusalem itakuwaje.

Hawa jamaa wanainajisi ardhi takatifu hivihivi!
Ardhi takatifu ni NCHI YETU TANZANIA!
 
Hivi Wayahudi wakihamishia Gay pride parade inayofanyikia Tel Aviv kila mwaka kwenda Jerusalem itakuwaje.

Hawa jamaa wanainajisi ardhi takatifu hivihivi!

Hivi maana ya ardhi takatifu ni ipi hasa? Hivi utakatifu wa Jerusalem ni upi? Unatokana na nini? Ushoga ukihamia huko utakatifu wake utakoma? Ushoga uko Israel peke yake? Utakatifu wa mahali (kama upo) unaweza kuondolewa? Kama ndio; na nini?

Je, Jerusalem kuna dhambi nyingine (nje ya ushoga) zimewahi kutendeka, zinatendeka, na zitaendelea kutendeka humo? Je, dhambi hizi zipo Jerusalem/Israel peke yake? Au na mahali pengine duniani? Kama wapi? Kuna mahali hazipo? Kama ndio, kama wapi?

Kuna sehemu nyingine duniani ni takatifu nje ya Jerusalem? Kama ndio, wapi? Utakatifu wa sehemu hiyo unatokana na nini? Ushoga upo sehemu hizo? Kuna dhambi zozote zinatendeka sehemu hizo?

Ushoga ni dhambi kama dhambi nyingine na wote watendao hayo sehemu yao ni katika lile Ziwa liwakalo moto no matter wako Tel Aviv, Jerusalem, Makkah, au pengine popote. Utakatifu wa Jerusalem utadumu hadi hapo maneno haya yatakapobatilika "O my people, enter the Holy Land which Allaah has assigned to you and do not turn back [from fighting in Allaah’s cause] and [thus] become losers.".
 
We have finally moved to Jerusalem from Tel Aviv wherein the Israel government has headquartered, our main goal to move to Jerusalem is to write off Palestinian dreams that part of Jerusalem or the entire city is theirs.
Tehran had sworn to wipe us out from the world's map if we should have just continued to perturb their brethren,now it's eventually done.
The Palestinian counterparts and allies should forget about the so called "Jerusalem ",we are here in the city of our ancestors running our business as usual as we always have been,whoever thinks that we're wrong and we deserve aggression, the doors are open to everyone to get to know who the Jews are, we will teach them unforgettable lesson.


Lkn wewe siyo Myahudi hivyo haiwezi kuwa yako na wala hawakutaki!
 
Wapalestina Mungu yupo nanyi....ipo siku haki yenu itapatikana,,, hivyo msikate tamaa!
Haki ipi mkuu? Haki ya kupora Jerusalem yote iwe yao na kuifuta Israel Duniani? Ndo haki ya wapalestina hiyo unayosema wataipata? Ni bora Iran atoe ardhi awape wapalestina, otherwise wataisha kweli.
 
Ardhi takatifu ni NCHI YETU TANZANIA!
Tanzania siyo ardhi takatifu, acha kuvutia bange chooni, ardhi takatifu haiwezi kunuka umaskini Kama kinyesi, ardhi takatifu haina watu wasiojulikana, pumbavu Sana wewe.
 
Lkn wewe siyo Myahudi hivyo haiwezi kuwa yako na wala hawakutaki!
Wewe mbona huwa unawashwa washwa Sana, hawamtaki unamjua mtoa mada,?unamjua anaishi wapi? Unajua uraia wake? Acha tabia za kishenzi za ki CCM.
 
Mimi nadhani hawa wapalestina wanakosea hii movi,
walitakiwa watulie kama maji mtungini,

maandiko yanasema huo mji utatekwa kwa vita kuu,na mwishoe masihi atakuja,
ndo maana israel inayo jerusalem tangu mwaka 1967,ila sasa hakuna vita kuu,sasa wanajifanya eti baada ya marekani kuitambua sasa ndo imekuwa yao,
hii kuwapiga risasi waandamanaji ili tu katokee kavita waseme unabii umetimie,
ishu ipo itapopita miaka 100 hakuna cha masiha wala nini,halafu watu wagundue ilikuwa changa la macho
hizo habari za kusubiri inabii unaweza subiri hata karne sita, we acha waendelee kukeep their struggle alive hasa kipind hiki ambacho hata nchi kama tanzania zimeamua kuhamia upande wa pili..nchi nyng now hazina mwamko na issue ya palestine km zamani so now wakiamua kulala ndo basi tena
 
Back
Top Bottom