Yawezekana, Ka'copy' sehemu, siyo maneno yake!Punguza ushabiki mkuu
Maandiko yanasema; maandiko yapi hayo? Yale mnayoyatukana kila siku? Ninyi watu ni manafiki wa kiwango cha kuzimu. GOD BLESS YOUR PEOPLE, GOD BLESS ISRAEL. AMEN.
Wanategemeana mkuu, usidhani Marekani hutoa msaada kwa Israel bila kufaidika lolote, CIA wanaitegemea Sana MOSSAD kiintelijensia, Marekani inatoa misaada mingi ya kifedha na kijeshi kuliko nchi yoyote Duniani, wanafanya hivyo ili wapate mengi kutoka kwa Israel, pamoja na yote, Israel iko fit hata Kama US hawataisaidia, inatengeneza silaha yenyewe za kivita zenye high quality mno, India na mataifa mengine wanaitegemea Israel kivita, na India hununua silaha Israel, Israel iko fit bila msaada wa US, rejea six days war, Israel haikusaidiwa na US kipindi hicho, rejea 90 minutes at Entebe, Israel haikusaidiwa kuwakomboa mateka wake.
Kubalini ukweli kuwa Israel iko vizuri mtabakia mmekalili US.
kwani Tanzania Hakuna mashoga? tena wengi ni wana ccm.
NI KWELI ISRAELI IKO VIZURI SANA ANGALIA MASHOGA HAPO KWENYE PICHA
GAY PRIDE IN TEL AVIV
200,000 party at Israel Gay Pride Parade, region's biggest
![]()
Ardhi takatifu ni NCHI YETU TANZANIA!Hivi Wayahudi wakihamishia Gay pride parade inayofanyikia Tel Aviv kila mwaka kwenda Jerusalem itakuwaje.
Hawa jamaa wanainajisi ardhi takatifu hivihivi!
Hivi Wayahudi wakihamishia Gay pride parade inayofanyikia Tel Aviv kila mwaka kwenda Jerusalem itakuwaje.
Hawa jamaa wanainajisi ardhi takatifu hivihivi!
HahahaMara Israel bila Marekani hana lolote, mara Marekani bila washirika hafui dafu, mara Washirika bila Marekani ni maboya. Dah, waarabu wa Yombo mna mambo...!!!!
We have finally moved to Jerusalem from Tel Aviv wherein the Israel government has headquartered, our main goal to move to Jerusalem is to write off Palestinian dreams that part of Jerusalem or the entire city is theirs.
Tehran had sworn to wipe us out from the world's map if we should have just continued to perturb their brethren,now it's eventually done.
The Palestinian counterparts and allies should forget about the so called "Jerusalem ",we are here in the city of our ancestors running our business as usual as we always have been,whoever thinks that we're wrong and we deserve aggression, the doors are open to everyone to get to know who the Jews are, we will teach them unforgettable lesson.
Haki ipi mkuu? Haki ya kupora Jerusalem yote iwe yao na kuifuta Israel Duniani? Ndo haki ya wapalestina hiyo unayosema wataipata? Ni bora Iran atoe ardhi awape wapalestina, otherwise wataisha kweli.Wapalestina Mungu yupo nanyi....ipo siku haki yenu itapatikana,,, hivyo msikate tamaa!
Tanzania siyo ardhi takatifu, acha kuvutia bange chooni, ardhi takatifu haiwezi kunuka umaskini Kama kinyesi, ardhi takatifu haina watu wasiojulikana, pumbavu Sana wewe.Ardhi takatifu ni NCHI YETU TANZANIA!
Wewe mbona huwa unawashwa washwa Sana, hawamtaki unamjua mtoa mada,?unamjua anaishi wapi? Unajua uraia wake? Acha tabia za kishenzi za ki CCM.Lkn wewe siyo Myahudi hivyo haiwezi kuwa yako na wala hawakutaki!
hizo habari za kusubiri inabii unaweza subiri hata karne sita, we acha waendelee kukeep their struggle alive hasa kipind hiki ambacho hata nchi kama tanzania zimeamua kuhamia upande wa pili..nchi nyng now hazina mwamko na issue ya palestine km zamani so now wakiamua kulala ndo basi tenaMimi nadhani hawa wapalestina wanakosea hii movi,
walitakiwa watulie kama maji mtungini,
maandiko yanasema huo mji utatekwa kwa vita kuu,na mwishoe masihi atakuja,
ndo maana israel inayo jerusalem tangu mwaka 1967,ila sasa hakuna vita kuu,sasa wanajifanya eti baada ya marekani kuitambua sasa ndo imekuwa yao,
hii kuwapiga risasi waandamanaji ili tu katokee kavita waseme unabii umetimie,
ishu ipo itapopita miaka 100 hakuna cha masiha wala nini,halafu watu wagundue ilikuwa changa la macho
Ndio Pombe akawakaribisha mayahudi yaje huku ??Ardhi takatifu ni NCHI YETU TANZANIA!
kwani Tanzania Hakuna mashoga? tena wengi ni wana ccm.
Wewe mbona huwa unawashwa washwa Sana, hawamtaki unamjua mtoa mada,?unamjua anaishi wapi? Unajua uraia wake? Acha tabia za kishenzi za ki CCM.