Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Kuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Silaa. Je, huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba. Naomba kuwasiliana
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba. Naomba kuwasiliana