amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,992
ameoa na ana watoto.... pole kwa hilo lakini!!!
anaweza kuwa side chick.
Maana Jerry kwa madem ni balaaa
ameoa na ana watoto.... pole kwa hilo lakini!!!
anaweza kuwa side chick.
Maana Jerry kwa madem ni balaaa
ameoa na ana watoto.... pole kwa hilo lakini!!!
mmmh inaonekana unaongea from experience... itakua ushapita mtaa ule
Kaka umoooo
wameachana.... :angry:
hahah nipo Mrs naniu.... hilo jina nalo, atakua mjaruo huyo!!!
najishangaa mwnywe nimekuwa nikimuota sana huyu stahk meya wa ilala duh cjui ni mawazo y maisha au vp?nkimwona kwny magazeti sasa nalisoma mwaka mzma,akiwa kwny habar nataman iwe habar hyo tu duh haya c majanga ya kuota ndto za alinacha?am i crazy?
Ahhhhha kitu digo hiyoooi mwaya iskuchanganye hilo n jina tu
Huyu inaonekana kawekewa hadi iriki kwenye maji ya kuoga... maana ni ndoa ya ghafla hii
Huyu inaonekana kawekewa hadi iriki kwenye maji ya kuoga... maana ni ndoa ya ghafla hii