Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 672
- 2,283
Jamaa yangu alisimamia uchaguzi.
Walikuwa na maelekezo ya kuwapa ushindi chama tawala.
Sasa najiuliza Jerry Silaa ameshindwaje Ubunge huku akiwa Waziri?
Ni wapi aliikosea mamlaka mpaka akapoteza Ubunge wake?
Walikuwa na maelekezo ya kuwapa ushindi chama tawala.
Sasa najiuliza Jerry Silaa ameshindwaje Ubunge huku akiwa Waziri?
Ni wapi aliikosea mamlaka mpaka akapoteza Ubunge wake?