GE2025 Jerry Silaa aliikosea nini mamlaka?

GE2025 Jerry Silaa aliikosea nini mamlaka?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Atakuwa Mzee mushi kampiga pini. Kile.kiwanja cha pale mikocheni jerry alimrudishia mwenyewe yule mama aliyekuwa UN lakini alipongolewa uwaziri wa ardhi tu.
Mzee Mushi akapiga chini wapangaji anajenga fremu mpya za ghorofa.
Alipokuwa Ardhi aligusa maslahi ya mtandao. Japo naye ni kijana wa ccm mtandao
 
Atakuwa Mzee mushi kampiga pini. Kile.kiwanja cha pale mikocheni jerry alimrudishia mwenyewe yule mama aliyekuwa UN lakini alipongolewa uwaziri wa ardhi tu.
Mzee Mushi akapiga chini wapangaji anajenga fremu mpya za ghorofa.
Alipokuwa Ardhi aligusa maslahi ya mtandao. Japo naye ni kijana wa ccm mtandao
Kumbuka huyu Babake alikuwa ruban, babake alikua kwenye helokopta moja FilikuNjombe ambaye inasemekana mzee kijana alimtupia bomu angani. HIVYO alivyopewa Uwaziri wa Ardhi aligusa mali za mzee kijana.
 
Hebu funguka vizuri, nikuelewe nahisi unataka kusema jambo kubwa sana..

..nimeshangaa mpaka Bonna mafisiem yamemtema licha ya uchapakazi na ushawishi mkubwa aliokuwa nao!
Bonna ni miongoni mwa wabunge viti maalum so si ajab ktk nafasi 10 za rais usishangae silaa akiteuliwa.
 
Slaa alimbagaza Alex Msama kwa kumuita tapeli wa viwanja. Ambacho hakukifahamu ni kwamba Msama alikuwa agent wa mzee Msoga na vile viwanja ni vya Msoga
 
Kumbuka huyu Babake alikuwa ruban, babake alikua kwenye helokopta moja FilikuNjombe ambaye inasemekana mzee kijana alimtupia bomu angani. HIVYO alivyopewa Uwaziri wa Ardhi aligusa mali za mzee kijana.
Filiku alimtenda ubaya gani mzee kijana hadi astahili madhila hayo?
 
Jamaa yangu alisimamia uchaguzi.

Walikuwa na maelekezo ya kuwapa ushindi chama tawala.

Sasa najiuliza Jerry Silaa ameshindwaje Ubunge huku akiwa Waziri?

Ni wapi aliikosea mamlaka mpaka akapoteza Ubunge wake?
Jerry alisema alikataa rushwa ya Billioni alivokuwa Meya.
Then akaja kataa rushwa ya 300M alivokuwa waziri wa ardhi kwa ajili ya petrol station mikocheni/masaki.
 
Back
Top Bottom