Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

Anaandika Jerry Muro


[HASHTAG]#Taifa[/HASHTAG] la Tanzania limeingia katika Historia ya Dunia Kufuatia Kampuni ya _Barrick Gold_ kukubali kwa mara ya kwanza Kugawana asilimia hamsini kwa hamsini *50/50* ya Faida katika uzalishaji wa Dhahabu nje ya *Asilimia 16* ya Mrahaba na Kodi ambayo taifa itapata.

[HASHTAG]#Nimedadisi[/HASHTAG] katika nchi mbalimbali ambazo Barrick wamefanya uwekezaji kama huu na kugundua Tanzania ndio nchi *PEKEE* ambayo *IMETHUBUTU* na kufanikiwa katika hili, Hongera Tanzania Hongera Rais Mzalendo *Mhe, Dkt. John Pombe Magufuli* katika kurekebisha kwa vitendo makosa ya watangulizi wako, huu ndio Uongozi *UNAOACHA ALAMA* tukufu, naamini kwa sasa watangulizi wako wanafuraha kubwa ya kuona umesahihisha kwa vitendo pale walipokosea.

[HASHTAG]#Muafaka[/HASHTAG] Baina ya Tanzania na Barrick umewaacha "UCHI" tena nasisitiza "*UCHI WA MNYAMA* " wale wote waliokuwa wakisubiri Tanzania ipelekwe mahakama ya kimataifa kutokana na kuchukua hatua za kuzuia MAKINIKIA, kwangu nasema *SHAME ON YOU!!!* najua wamenielewa na wamesikia, Leo Tanzania imepata Shilingi Bilioni 700 kama hela tu ya kujenga *UAMINIFU*, bado nasubiria tupate kodi yetu, tupate Mrabaha wetu, kisha tugawane faida hamsini kwa hamsini.

[HASHTAG]#Nimefarijika[/HASHTAG] sana na kauli ya Mhe Rais, *Dkt. John Pombe Magufuli* ya kuwataka wawekezaji wengine *WOTE* katika Sekta ya Madini kujitafakari na kuanza kufuata uelekeo wa makubaliano kama Haya na Barrick, sasa tutaanza kuvuna neema kwenye Tanzanite, Almasi na kisha tutaingia kwenye Gesi na Mali asili zingine, Haya ni mafanikio makubwa katika kipindi cha takribani miaka miwili ya Uongozi wa Mhe Magufuli, naamini akimaliza miaka Mitano ya kwanza na ile mingine lazima Tanzania tutakuwa "*Donor country*"

[HASHTAG]#Naomba[/HASHTAG] nimalize kwa kufikisha salamu kule Nairobi, mwambieni kulikuwa na sababu ya Mungu kumuweka hai ili aje ashuhudie ukuu wa Mungu kupitia Mhe Magufuli, lile alilosema haliwezekani kwa sasa *LIMEWEZEKANA* na Hatimae Mhe Magufuli ameibuka shujaa na kinara wa kielelezo cha Rais Bora Africa anaepigania *RASILIMALI* za nchi yake, Mungu alisema Muombee sana "*ADUI* " yako aishi miaka mingi ili Ashuhudie Baraka za Mungu kwako, Hatimae maombi yetu yamejibu sasa.

Wasalamu
*Jerry C. Muro*
*Dodoma, Tanzania*
*20/10/2017*
Jerry Murro
Anaandika Jerry C. Muro


[HASHTAG]#Taifa[/HASHTAG] la Tanzania limeingia katika Historia ya Dunia Kufuatia Kampuni ya _Barrick Gold_ kukubali kwa mara ya kwanza Kugawana asilimia hamsini kwa hamsini *50/50* ya Faida katika uzalishaji wa Dhahabu nje ya *Asilimia 16* ya Mrahaba na Kodi ambayo taifa itapata.

[HASHTAG]#Nimedadisi[/HASHTAG] katika nchi mbalimbali ambazo Barrick wamefanya uwekezaji kama huu na kugundua Tanzania ndio nchi *PEKEE* ambayo *IMETHUBUTU* na kufanikiwa katika hili, Hongera Tanzania Hongera Rais Mzalendo *Mhe, Dkt. John Pombe Magufuli* katika kurekebisha kwa vitendo makosa ya watangulizi wako, huu ndio Uongozi *UNAOACHA ALAMA* tukufu, naamini kwa sasa watangulizi wako wanafuraha kubwa ya kuona umesahihisha kwa vitendo pale walipokosea.

[HASHTAG]#Muafaka[/HASHTAG] Baina ya Tanzania na Barrick umewaacha "UCHI" tena nasisitiza "*UCHI WA MNYAMA* " wale wote waliokuwa wakisubiri Tanzania ipelekwe mahakama ya kimataifa kutokana na kuchukua hatua za kuzuia MAKINIKIA, kwangu nasema *SHAME ON YOU!!!* najua wamenielewa na wamesikia, Leo Tanzania imepata Shilingi Bilioni 700 kama hela tu ya kujenga *UAMINIFU*, bado nasubiria tupate kodi yetu, tupate Mrabaha wetu, kisha tugawane faida hamsini kwa hamsini.

[HASHTAG]#Nimefarijika[/HASHTAG] sana na kauli ya Mhe Rais, *Dkt. John Pombe Magufuli* ya kuwataka wawekezaji wengine *WOTE* katika Sekta ya Madini kujitafakari na kuanza kufuata uelekeo wa makubaliano kama Haya na Barrick, sasa tutaanza kuvuna neema kwenye Tanzanite, Almasi na kisha tutaingia kwenye Gesi na Mali asili zingine, Haya ni mafanikio makubwa katika kipindi cha takribani miaka miwili ya Uongozi wa Mhe Magufuli, naamini akimaliza miaka Mitano ya kwanza na ile mingine lazima Tanzania tutakuwa "*Donor country*"

[HASHTAG]#Naomba[/HASHTAG] nimalize kwa kufikisha salamu kule Nairobi, mwambieni kulikuwa na sababu ya Mungu kumuweka hai ili aje ashuhudie ukuu wa Mungu kupitia Mhe Magufuli, lile alilosema haliwezekani kwa sasa *LIMEWEZEKANA* na Hatimae Mhe Magufuli ameibuka shujaa na kinara wa kielelezo cha Rais Bora Africa anaepigania *RASILIMALI* za nchi yake, Mungu alisema Muombee sana "*ADUI* " yako aishi miaka mingi ili Ashuhudie Baraka za Mungu kwako, Hatimae maombi yetu yamejibu sasa.

Wasalamu
*Jerry C. Muro*
*Dodoma, Tanzania*
*20/10/2017*
Jerry Murro learn how to read between the lines as a journalist. I think you rushed too much to write before you could understand what is written in the agreement. Things are not yet conclusive let’s wait to the last resolution then we can celebrate or else it is still too early to celebrate
 
Kweli kabisa, pamoja na akina Mbow kutaka kumuua, basi Mungu aliamua kwa makusudi yake amfanye aishi ili ajionee mwenyewe huyu mnafiki

Akili zenu ndogo mno


makubaliano kutekelezwa mpaka Approval ya bodi ya London

Je wakikataa akiba ya maneno muhimu sana palipo na ngozi nyeupe kaa chonjo
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Muro jifunze kupangilia hoja kwenye uandishi wako.... unaandika kama mtoto wa Facebook.
 
Ukiona hivyo labda kashazawadiwa ukuu wa wilaya
sidhani, hahahahahhaha. Yaani nilishangaa sana hasa ukimuona Ruttashobolwa kwa sasa alivyokindaki kindaki na Chama cha Mapinduzi, nikasema basi siasa hizi, mmmmmh! bora nikae nilivyo. Ngoja nifukunyue huo uzi kama nitaupata
 
Mwandishi wa habari Jerry Muro ni mtangazaji mzuri, kwenye uchambuzi ni bure, hata alipokuwa ITV na TBC hakuwahi kuwa host wa vipindi vya uchambuzi vinavyovutia wasikilizaji, labda hapa JF ndimo anajifunza kufanya uchambuzi.

Vv
 
Mmeufanya ukabila weeeeeeeeee tangu Uhuru sasa tumepata rais jembe asiyebagua watu mnaanza kutoa mapovu.,Huwa ninaapata shida sana kupata watu wanaotoka jamii hiyo wanashangaa tulipo hivi sasa lkn wao ndio walikuwa wameshika system ya nchi hii ukiwauliza wanasema tumejenga kwetu."Almasi Mwadui ujenze Kibororoni pekee yake...."!!!?
 
Lazima muumie sana nyie vibaraka wa Wazungu

Nakushangaa sana jamaa wanasema tunatoa hisani hiyo pesa nje ya kod na pesa tulizopigwa yaani kwa kukuhurumia mana wao kila kitu walikuwq sahihi asilimia 99 sehemu ya faida yao wametupa sisi ila sio madeni wala kodi bado unashangilia? Unapewa kiziba mdomo unatangaza kwenye media ni ushindi mwisho wanamalizia

makubaliano kutekelezwa mpaka Approval ya bodi ya London
 
Hivi ile 16% ni mrahaba au ni ownership stake/interest
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom