The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Jana niliona mahojiano kidogo ya Jerry Muro kwenye kipindi cha MKASI EATV ambacho kikubwa nilichokiona kwa Jerry Muro ni 'entitlement feelings' alizo nazo
Ingawa kiukweli anaonekana ni mzalendo na anaipenda nchi yake na pengine anastahili
kupewa nafasi zaidi lakini kila anapofungua mdomo utamsikia akisema 'mimi nilifanya hivi' 'mimi nilifanya vile'.
Kuna kipindi alisema 'mimi nilikuwa mwanahabari wa mfano Tanzania' nikabaki najiuliza hiyo status alipewa na nani? ni lini alitangazwa wa mfano?
Nafikiri tatizo la Jerry Muro ni hilo....'kutwa anasema 'mimi' 'mimi'
Siku ile Zitto anatangaza kujiunga na ACT-Wazalendo kutwa alikuwa anasema 'mimi nilisababisha baraza la mawaziri livunjwe' 'mimi nilisababisha hiki na kile.
Ingawa yote aliyoyasema naamini yana kitu chenye ukweli but kumsikia kiongozi kutwa akisema 'mimi lilifanya hivi' 'mimi nilifanya vile' it is so irritating...
Lugha ya uongozi ni 'we' ....'sisi'
Naamini humu kuna washauri wengi wa Zitto na Jerry Muro. Waambieni tu kama wanataka kufanikiwa waache sasa hiyo lugha ya 'mimi nilifanya hivi' na waanze leo kusema 'sisi' na kutumia 'we' badala ya 'i' kwenye matamshi yao.
Ni kitu kidogo sana lakini kikuubwa sana.
Ingawa kiukweli anaonekana ni mzalendo na anaipenda nchi yake na pengine anastahili
kupewa nafasi zaidi lakini kila anapofungua mdomo utamsikia akisema 'mimi nilifanya hivi' 'mimi nilifanya vile'.
Kuna kipindi alisema 'mimi nilikuwa mwanahabari wa mfano Tanzania' nikabaki najiuliza hiyo status alipewa na nani? ni lini alitangazwa wa mfano?
Nafikiri tatizo la Jerry Muro ni hilo....'kutwa anasema 'mimi' 'mimi'
Siku ile Zitto anatangaza kujiunga na ACT-Wazalendo kutwa alikuwa anasema 'mimi nilisababisha baraza la mawaziri livunjwe' 'mimi nilisababisha hiki na kile.
Ingawa yote aliyoyasema naamini yana kitu chenye ukweli but kumsikia kiongozi kutwa akisema 'mimi lilifanya hivi' 'mimi nilifanya vile' it is so irritating...
Lugha ya uongozi ni 'we' ....'sisi'
Naamini humu kuna washauri wengi wa Zitto na Jerry Muro. Waambieni tu kama wanataka kufanikiwa waache sasa hiyo lugha ya 'mimi nilifanya hivi' na waanze leo kusema 'sisi' na kutumia 'we' badala ya 'i' kwenye matamshi yao.
Ni kitu kidogo sana lakini kikuubwa sana.