Jerry Muro kugombea ubunge uchaguzi mkuu

Jerry Muro kugombea ubunge uchaguzi mkuu

Tujisahihishe Tz

Platinum Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
3,050
Reaction score
1,359
Akihojiwa katika kipindi cha Mkasi tv bw. Muro amesema amesema amefanya mengi katika jamii hivyo haoni sababu ya yeye kutokufanya hivyo na kuongeza kuwa tusichague mtu kwa sababu tu ana mapesa yake lakini tuangalie mtu huyo ameisaidiaje jamii yake.



kwa upande wangu huyu jamaa kanivutia sana anajua kujenga hoja hivyo kama atagombea katika jimbo langu nitampigia kura
 
Jerry muro atakuwa ccm, maana huko yanga ndiyo ajira yake ilipo
 
Jerry muro atakuwa ccm, maana huko yanga ndiyo ajira yake ilipo

Naweza kukuunga mkono maana YANGA, CCM na hawa ndugu zetu katika imani huwa na mahusiano yasiyo na afya hasa katika vipindi vingi vya uchaguzi..

Wakishalizwa na Serikali mbio kutoa matamko yasiyokuwa na kichwa wala miguu na wala hayatekelezeki
 
Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA hata akigombea kupitia ccm nitampigia kura yangu kama itakuwa jimboni kwangu

utakuwa umesahau msemo wa mtoto wa nyoka ni nyoka ccm hawafai tunaisubili kuizika tu
 
Sijui kwa nini
kuna kitu about him kinaniboa mno

nataka sana kumuamini but nashindwa
 
Akihojiwa katika kipindi cha Mkasi tv bw. Muro amesema amesema amefanya mengi katika jamii hivyo haoni sababu ya yeye kutokufanya hivyo na kuongeza kuwa tusichague mtu kwa sababu tu ana mapesa yake lakini tuangalie mtu huyo ameisaidiaje jamii yake.



kwa upande wangu huyu jamaa kanivutia sana anajua kujenga hoja hivyo kama atagombea katika jimbo langu nitampigia kura

Lini Ameacha Tabia Yake Ya Kulewa Pombe Chakari Na Kuwabandua Hovyo Wahudumu Wa Ukumbi Wa Maembe Bustani Kama Dada Zainab?
 
Back
Top Bottom