Hayo mashindano ya kimataifa wameanza kushiriki mwaka huu? Mbona miaka ya nyuma hakukuwa na malalamiko ya ratiba kama kipindi hiki? TFF ya malinzi imeshindwa kuficha hisia zao, na ni JIPU!Hoo mbona kila hatakachosema muro nikibaya kwenu nyie mikia!!!! Huyo Hiji kutwa kuisema yanga hamumkosoi na mnajua kabisa yanga inacheza mashindano ya kimataifa ndiyo mahana mechi zake zikasogezwa Mbele ila manara kila kukicha yanga hooooooo wanabebwa mpaka kaenda kwa waziri na yeye bila kufikiria Yanga na Azamu alikuwa kwenye michezo yakimataifa analeta siasa mpira ni wa FIFA siyo hivyo !!!!! Jerry tupo pamoja watakutajia jina lako la utotoni hiyo ndiyo kazi yako Yanga tuliyokuhajiri Yanga Mbele.........
We jamaa inaonyesha ni shabiki maandazi, kati ya timu inayomaliza mechi zake mapema na inayochelewa kumaliza ipi ina nafasi ya kuchukua ubingwa wa kupanga matokeo?! Alafu na yeye Muro ana kipele kinamuwasha, kwani Azam fc hawana msemaji wao mpaka awasemee?!Acha ushabiki hapa!! Simba wanataka Ubingwa wa Mezani, kitu ambacho hakipo!!
Hakuna anae kurupuka kutukana kama ww hujamtukana.
Watakuwa magamba na mafis ndio wanampa kiburHuyu kuna wanaompa kiburi
Kwenye quotation "Mtu mzima ..... " mbona sijaona sehemu yeyote akimtaja mtu jina? Umejuaje anamwongelea Haji Manara?Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.
Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.
Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM leo Jerry Muro kasema nanukuu " Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.
Kama wewe unajijua ni Mdau wa Michezo na Mwana Michezo tafadhali toa maoni yako hapa ya nini kifanyike ili hali hii IKOME au IISHE kabisa kwa maslahi mazima ya mchezo wetu pendwa wa Soka au Kandanda.
Karibuni sana tujadili.
Wa Forest hill, kihonda na Sua?Jerry Muro huwa hana adabu huyo mtoto
Kwa kuanza na uongo kumekufanya usiaminike.Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.
Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.
Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM
Labda mimi nijikite kisheria zaidi kama nitakua nimepitia vizuri hiyo nukuu yako na kama utakua umenukuu vizuri yale yaliyotamkwa na Muro.
Sijaona katika nukuu hii jina la huyo anayetajwa kuzunguka kutwa nzima akizumgumzia mambo ya Yanga na Azam kwamba limetajwa kua ni Haji Manara, nukuu yako ni hii "Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? ".
Mtu unaweza kuyasikia maneno na kuyaona kihisia yanamgusa mtu fulani na ukaona uko sahihi kabisa, lakini hakuna namna utathibitisha kwamba alikua anamlenga huyo unayemdhani. Unless umeacha baadhi ya maneno katika nukuu yako, lakini kwa hapo sioni namna tutasema Muro anamzungumzia Manara. Nayaeleza haya nikiwa mtu huru nisiyefungamana na upande wowote, kati ya Simba, Yanga au Azam.
Kama huna mahaba na soka wala hufuatilii mpira, umejuaje EFM ina mahaba 90% na machampioni Yanga? Mikia mmeanza kuikimbia mbumbumbu fc?Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.
Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.
Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM leo Jerry Muro kasema nanukuu " Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.
Kama wewe unajijua ni Mdau wa Michezo na Mwana Michezo tafadhali toa maoni yako hapa ya nini kifanyike ili hali hii IKOME au IISHE kabisa kwa maslahi mazima ya mchezo wetu pendwa wa Soka au Kandanda.
Karibuni sana tujadili.
SHOMBO!!!!!!?? Au Matusi!!? Hivi Ukiambiwa Kuwa UNAWASHWA!! Unatafuta Mtu AKUKUNE!!! Ni Shombo Hizo Au Matusi!!!?Hao wote ni "waswahili" kinachotokea ni kuzidiana extent ya kuongea "shombo"!
Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.
Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.
Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM leo Jerry Muro kasema nanukuu " Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.
Kama wewe unajijua ni Mdau wa Michezo na Mwana Michezo tafadhali toa maoni yako hapa ya nini kifanyike ili hali hii IKOME au IISHE kabisa kwa maslahi mazima ya mchezo wetu pendwa wa Soka au Kandanda.
Karibuni sana tujadili.