senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 68
Chanzo hicho kilizidi kupasha kuwa baada ya watu, akiwemo jerry kuona daktari huyo akivuja damu kupita kiasi mguuni huku akiwa ameanguka chini, waliamua kumkimbiza hospitali ya marie stopes mwenge ambako anafanyia kazi.Habari zinasema alipofikishwa hospitalini hapo aliingizwa moja kwa moja chumba cha upasuaji ambako jeraha hilo lilishonwa.
Kuna haja ya PF3 hapa?