Jennifer Lopez mambo gani haya unatuondoa kwenye Escrow sasa.


Ngoja nikupe ya Rihanna ya leo baada ya kujua anapendwa na midume humu Jf kaamua kuvaa madela
 
Weupe hawana mvuto hata akikaa uchi poa tu,mbona huku mitaani mbona huwa wanatembea na bikini hakuna hata mtu mwenye habari nao.

Haujakosea, blacks and browns ndo mpango mzima. Ukiona paja tu, network inavurugika.
 
Duh sijui ndio mbuzi kagoma hio, sijui ndio chuma mboga hata sijui ni style gani anajaribu ku-demostrate. Mmghh ngoja nimalizie Escrow kwanza
 
Ngoja nikupe ya Rihanna ya leo baada ya kujua anapendwa na midume humu Jf kaamua kuvaa madela

Rihanna hata akipiga dela au kanzu au hijab yaani ile ya full burkha bado ni ligi nyingine, yaani Premier ligi.
 
hiki kibibi jennifer lopez kinajiona bado kinaweza kwenda sambamba na mabinti wabichi kama kina nick minaj.anyway turudi kwenye ESCROW.
 
i bet huu uzi mda si mrefu utapelekwa lile jukwaa kule chini...manake hii hatare!!
weka mbali na watoto.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…