inahusu mtu na ipo hapa kimakosa. kama unajua namna ya kuwapata mamodi waambie mimi muanzisha thread nimekiri kufanya kosa la kuanzisha thread ya kudiscuss mtu badala ya issues, na kwamba naomba ifutwe. we unajua mamodi wanakaa wapi?
Nadhani mleta uzi anataka kutuambia Kikwete na Jenister wameshikana mikono, kulikoni? (Maana mkono wa JK wa kulia na mkono wa Jenister wa kushoto.....mmmmh!)
Katika picha hii ninachoweza kukiongea ni kuwa, aliyeweka hizo Tiles naona kama bado vile!