GE2025 Jenista Mhagama: Vijana jitokezeni kushiriki uchaguzi mkuu

GE2025 Jenista Mhagama: Vijana jitokezeni kushiriki uchaguzi mkuu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mgombea wa Ubunge katika Jimbo la Peramiho (Ruvuma) kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Jenista Mhagama Oktoba 25, 2025 wakati aliposhiriki kwenye Bonanza la Afya, wilaya ya Songea vIjijini llilofanyika katika uwanja wa Tamasha, Peramiho, alitoa wito kwa vijana ifikapo Oktoba 29, 2025 kujitokeza katika vituo vya kupigia kura na kutimiza haki yao ya kikatiba kwa kuchagua viongozi kuanzia ngazi ya Urais, Wabunge na Madiwani ambao watashirikiana pamoja katika kuwaletea maendeleo

Alisema kuwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea vijana wapo wengi, hivyo kupitia bonanza hilo amewataka kufikisha ujumbe huo kwa vijana wengi zaidi ili waweze kutambua umuhimu wa zoezi lililo mbele yao


 
Mgombea wa Ubunge katika Jimbo la Peramiho (Ruvuma) kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Jenista Mhagama Oktoba 25, 2025 wakati aliposhiriki kwenye Bonanza la Afya, wilaya ya Songea vIjijini llilofanyika katika uwanja wa Tamasha, Peramiho, alitoa wito kwa vijana ifikapo Oktoba 29, 2025 kujitokeza katika vituo vya kupigia kura na kutimiza haki yao ya kikatiba kwa kuchagua viongozi kuanzia ngazi ya Urais, Wabunge na Madiwani ambao watashirikiana pamoja katika kuwaletea maendeleo

Alisema kuwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea vijana wapo wengi, hivyo kupitia bonanza hilo amewataka kufikisha ujumbe huo kwa vijana wengi zaidi ili waweze kutambua umuhimu wa zoezi lililo mbele yao


Watu wabaya dunia hii,
wamemnanilii huyu mama wa watu

RIP JJM

P
 
Mungu kamtizama amefanya sarakasi za uchaguzi feki afu kamvuna asile matunda ya wizi wa kura, shenzi shwaini ozea jehanamu na majizi yaliyobaki nayo yafe haraka iwezekanavyo
 
Hivi yale mahela yote jamani yaliyoko benki ameyaacha? Hajaenda nayo motoni?

Na yale magari yanayonesa kwa raha?

Vipi kuhusu mahekalu aliyoyajenga kwa mabilioni?

Vitega uchumi alivyoviweka?

Na zile mbwembwe zote na madaha?

Nimebaki mdomo wazi 🫨🫨🫨
 
Back
Top Bottom