Jenista Mhagama, Mzigo huu wa wizara yako hauuwezi

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Mar 23, 2016
2,668
3,750
Jana kwenye sherehe ya wafanyakazi pale Dodoma nimemshangaa sana huyu mama maana ameishia kusema anayo mambo matatu bali aliishia kusifia.

Huyu ni waziri ambaye hajui hata changamoto za wizara yake? Eti anasema yeye anataka akakae asubiritu kuagizwa,nimejiuliza kwani yeye hazijui changamoto na kutoa maoni yake juu ya changamoto hizo?

Kuna umuhimu gani wa yeye kuwa waziri kumbe anakaatu haifikirishi akili?

Tena mama anamuita bosi wake baba askofu, yaani mama huyu apewe kazi anayoiweza.
 
Kuna nafasi lazima ifikie mahali uteuzi uwe ni wa academic merit tu na si vinginevyo
 
Pale amepewa kazi ya kuangalia ustaarabu wa kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii ili kubaki na mifuko miwili ya hifadhi ya jamii. Je hili fupa ataliweza?
 
Eti 'Wanawake tunaweza bila kuwezeshwa' mhhhhhh.

NAJUA MAGUFURI KWA HULKA YAKE SIDHANI KAMA ALIMTEUA HUYU MAMA KWA KUPENDA YEYE.NADHANI ALILAZIMISHWA?SASA AKISHINDWA HILO LA MIFUKO BASI KIBARUA KITAOTA NYASI.ATAMFANYA KAMA MAMA MALECELA
 
Huyo mama Jenista ni kati ya mawaziri bomu sana wa Magufuli.Ni mzigo ambao sina hakika kama Magufuli ataweza kuubeba kwa miaka mitano.Anafiti vyeo vya kichama tu lakini sio serikalini
 
Huy ni wapi aliweza? Huyu alibebwa kwa manufaa ya watu fulani fulani enzi hizo za kuangaliana sura.
 
Jana kwenye sherehe ya wafanyakazi pale Dodoma nimemshangaa sana huyu mama maana ameishia kusema anayo mambo matatu bali aliishia kusifia.

Huyu ni waziri ambaye hajui hata changamoto za wizara yake? Eti anasema yeye anataka akakae asubiritu kuagizwa,nimejiuliza kwani yeye hazijui changamoto na kutoa maoni yake juu ya changamoto hizo?

Kuna umuhimu gani wa yeye kuwa waziri kumbe anakaatu haifikirishi akili?

Tena mama anamuita bosi wake baba askofu, yaani mama huyu apewe kazi anayoiweza.
Mkumbwaaaa naomba niunge mkono hoja yako ina mashiko..
 
Back
Top Bottom