Jenista Mhagama, kumbuka ahadi yako ndani ya Bunge la Bajeti la 2022/2023

Blender

JF-Expert Member
Mar 5, 2022
3,421
5,277
Jenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.

Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.

Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.

Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.

Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.

Nawasilisha 🙏
 
Jenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.

Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.

Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.

Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.

Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.

Nawasilisha
Wanasiasa ahadi kibao utekelezaji F
 
Jenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.

Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.

Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.

Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.

Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.

Nawasilisha 🙏
Ajira Portal mkuu ni janga la kitaifa. Uliza PURA watakuambia yaliyowakuta.
Mitihani inaibiwa, mitihani inasahihishwa kwa nusu saa na kutoa matokeo, iunde bodi kama ya baraza la mitihani kutunga na kusahihisha mitihani
 
Jenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.

Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.

Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.

Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.

Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.

Nawasilisha 🙏
maisha yamekua makali na machungu zaidi.kwasisi job seeker
Jenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.

Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.

Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.

Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.

Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.

Nawasilisha 🙏
 
Ajira Portal mkuu ni janga la kitaifa. Uliza PURA watakuambia yaliyowakuta.
Mitihani inaibiwa, mitihani inasahihishwa kwa nusu saa na kutoa matokeo, iunde bodi kama ya baraza la mitihani kutunga na kusahihisha mitihani
Noma Mzee 😂
 
Back
Top Bottom