Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 3,421
- 5,277
Jenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.
Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.
Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.
Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.
Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.
Nawasilisha 🙏
Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.
Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.
Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.
Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.
Nawasilisha 🙏