Jenista Mhagama aiteka Songea Vijijini

Jenista Mhagama aiteka Songea Vijijini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Joachim Mhagama aiteka Songea vijijini katikati Ziara yake ya siku 8 Jimboni Peramiho

Mh!!!!!!!!!!!!!Anakumbuka shuka asubuhi?Haya Karibu Songea.Ni wakati wa palizi sasa sijui shamba lako ulikumbuka hata kulivuruga kidogo........Au unategemea kuvuna pasipo kulima.................Haya karibu bibiye...........
 
Safi sana mama wapinzani hawaoni ndani harakati zako waue CDM!
 
Kwanza wewe tumbili hutokei Songea. Sisi tunaoijua Songea, hali ya umasikini bado ni kubwa sana.

Na huyo mbunge Jenista Ngonyani hana lolote. Aanze kwanza kushughulikia kero za kwao Parangu. Umaarufu wake ni kwa sababu ni mchepuko wa Sumaye; na si vinginevyo.

Huna adabu kijana Tena ukome kuongea yasiyokuwa na staha mbele ya jamii ,umesahau Kuwa Wewe ni mtoto wa kambo
 
Hana la msingi. Watu bado wanalia ma umaskini wa kutengenezewa. Watu wa songea bado wamelala wanaamini katika ccm ambayo inawapa umaskini

Songea nyumbani Sasa tumeamkaa peramihio kuna amani toka kitambo ,mama Jenista shujaa Kila kona ukipita hakuna wa kumzidia ,maji safi na umeme wa uhakika ,wakulima wananeemeka kuvuna Mpaka kuvuka lengo mama Jenista Ndiyo kiboko
 
wezi wa mali ya umma hawafai kwa lolote kwa muda wowote hata wakitoa chochote

Mbona Baba yako alimuibaaa mama yako kwa rafiki yako Huoni Kosa limeanziaa kwa baba yako ....Sio Kila avuaye nguo huchutama
 
-- Songea sio maskini shida ni uvivu wa baadhi ya wazawa walizoea kupewa na wamissionary wanaona kama kujibidisha katika kazi sio haki yao. Maduka mengi pale Songea mjini ni ya watu wa mbali (wachagga, wakinga) wenyeji bado.
-- Huyu mama labda alisaidia kuwasogeza nyumbani waalimu wazawa, wakati wa kupangwa kwenye ajira aliwaambia wampe majina na asilimia kubwa walipangwa huko kwao
ki-ukweli bado ana kazi ya kufanya, fursa kibao ila hajawafumbua macho wangoni wenzake

Acha ujinga wewe nani kakuambia wanasongea wanategemea wamisionari?Hivi mahindi,tumbaku na kahawa inayolimwa songea inalimwa na wamisionari.usiongee ujinga wako ni matajiri wangapi unaowajua ambao siyo wazawa?ottawa ni mkinga?matomondo je,matembo unataka nikutajie wangapi?kama huna cha kusema funga kopo lako
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Joachim Mhagama aiteka Songea vijijini katikati Ziara yake ya siku 8 Jimboni Peramiho

Karibu dear, mahindi yanahitaji mbolea ya ruzuku, soya hazina soko, kamata fursa twende zetu.
 
Acha uwongo,harudi huyo 2015.jidanganye tu.songea vijijini ipi unaizungumzia?
 
Acha ujinga wewe nani kakuambia wanasongea wanategemea wamisionari?Hivi mahindi,tumbaku na kahawa inayolimwa songea inalimwa na wamisionari.usiongee ujinga wako ni matajiri wangapi unaowajua ambao siyo wazawa?ottawa ni mkinga?matomondo je,matembo unataka nikutajie wangapi?kama huna cha kusema funga kopo lako

Acha ujinga Wewe kwhaiyo hata Hapa Dar Hawa wazaramo Mbona ni maskini tu ni wachache Wenye pesa ,utajiri ni lucky and opportunities ,Kaa hapo usubirie utapata maisha mazuri .Tena jambo la kusema wangoni na wamatengo hatuna pesa utukome kabisa
 
Songea nyumbani Sasa tumeamkaa peramihio kuna amani toka kitambo ,mama Jenista shujaa Kila kona ukipita hakuna wa kumzidia ,maji safi na umeme wa uhakika ,wakulima wananeemeka kuvuna Mpaka kuvuka lengo mama Jenista Ndiyo kiboko

Unazungumzia tumbo au? Huna uhakika na hayo usemayo. Uje huku Mgazini, Kilagano, Lipokela, Mkenda uone jinsi watu walivyoshindwa kuuza mazao kisa ufisadi unaoendekezwa na ccm pale NMC
 
Unazungumzia tumbo au? Huna uhakika na hayo usemayo. Uje huku Mgazini, Kilagano, Lipokela, Mkenda uone jinsi watu walivyoshindwa kuuza mazao kisa ufisadi unaoendekezwa na ccm pale NMC

Nazungumzia fact, Wewe unazungumzia hasira na jazba...tatizo litafutiwe ufumbuzi sio kuilaumu CCM pekee ,tatizo tufahamu mwaka huu tumevuna sana mazao tutafute ufumbuzi Kuondoa tatizo
 
Back
Top Bottom