Jenista Mhagama aiteka Songea Vijijini

Jenista Mhagama aiteka Songea Vijijini

kilombero yetu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
1,004
Reaction score
117
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Joachim Mhagama aiteka Songea vijijini katikati Ziara yake ya siku 8 Jimboni Peramiho
 
Hana jipya songea wasiwe wajinga, CCM ni wezi na hao kina mhagama ndo wezi wenyewe. Uko wapi utajiri wa nchii hii ktkt ya watu masikini kama wanasongea???
 
Hana jipya songea wasiwe wajinga, CCM ni wezi na hao kina mhagama ndo wezi wenyewe. Uko wapi utajiri wa nchii hii ktkt ya watu masikini kama wanasongea???

Nani kakudanganya Songea ni masikini?
 
Mama yetu ni miongoni mwa wabunge makini nchini
 

Attachments

  • mama.jpg
    mama.jpg
    20.5 KB · Views: 788
  • mama1.jpg
    mama1.jpg
    92.3 KB · Views: 721
  • mama2.jpg
    mama2.jpg
    115.5 KB · Views: 668
  • mama3.jpg
    mama3.jpg
    142.9 KB · Views: 661
  • mama4.jpg
    mama4.jpg
    91.8 KB · Views: 638
Sasa unataka uulizwe ili useme hakuna??? inafahamika kuwa CCM haijafanya kitu popote isipokuwa wizi wa mali ya umma
 
-- Songea sio maskini shida ni uvivu wa baadhi ya wazawa walizoea kupewa na wamissionary wanaona kama kujibidisha katika kazi sio haki yao. Maduka mengi pale Songea mjini ni ya watu wa mbali (wachagga, wakinga) wenyeji bado.
-- Huyu mama labda alisaidia kuwasogeza nyumbani waalimu wazawa, wakati wa kupangwa kwenye ajira aliwaambia wampe majina na asilimia kubwa walipangwa huko kwao
ki-ukweli bado ana kazi ya kufanya, fursa kibao ila hajawafumbua macho wangoni wenzake
 
-- Songea sio maskini shida ni uvivu wa baadhi ya wazawa walizoea kupewa na wamissionary wanaona kama kujibidisha katika kazi sio haki yao. Maduka mengi pale Songea mjini ni ya watu wa mbali (wachagga, wakinga) wenyeji bado.
-- Huyu mama labda alisaidia kuwasogeza nyumbani waalimu wazawa, wakati wa kupangwa kwenye ajira aliwaambia wampe majina na asilimia kubwa walipangwa huko kwao
ki-ukweli bado ana kazi ya kufanya, fursa kibao ila hajawafumbua macho wangoni wenzake

Acha unafiki wako wewe, songea hakuna mvivu
 
Huo ulikuwa Mkutano wa hadhara na sio Masherehe na Machereko, ukiangalia picha vizuri utagundua mengi, moja kuna msaada ambayo Mh. alitoa na pili alishangiliwa sana that's why unasema kulikuwa na sherehe.. hii ndio raha ya kukubalika
Hivi kwanini viongozi na wananchi wengi hapa TZ tunapenda sana Masherehe na Machelekocheleko? Ukiangalia muda na resources tunazopoteza kwa mambo hayo ni aibu...
 
Roma haikujengwa kwa siku moja, acha kazi iendele
-- Songea sio maskini shida ni uvivu wa baadhi ya wazawa walizoea kupewa na wamissionary wanaona kama kujibidisha katika kazi sio haki yao. Maduka mengi pale Songea mjini ni ya watu wa mbali (wachagga, wakinga) wenyeji bado.
-- Huyu mama labda alisaidia kuwasogeza nyumbani waalimu wazawa, wakati wa kupangwa kwenye ajira aliwaambia wampe majina na asilimia kubwa walipangwa huko kwao
ki-ukweli bado ana kazi ya kufanya, fursa kibao ila hajawafumbua macho wangoni wenzake
 
Acha unafiki wako wewe, songea hakuna mvivu​




  • Mkuu unatokea Songea upande gani?
 
sawa mkuu, hilo ni jimbo la Nchimbi, nenda kwa mama yako Jenista- anzia Chipole, nenda Lipinyapinya, Liganga, mpaka Madaba afu sema hali ya uchumi ya watu wa meneo hayo.
 
hEEEE. Kwani yeye ni Gaidi? Inabidi polisi wamshughulikie kabla hajateka sehemu nyigine tena.
 
wezi wa mali ya umma hawafai kwa lolote kwa muda wowote hata wakitoa chochote
 
Niko hapa mjini bomba mbili

Kwanza wewe tumbili hutokei Songea. Sisi tunaoijua Songea, hali ya umasikini bado ni kubwa sana.

Na huyo mbunge Jenista Ngonyani hana lolote. Aanze kwanza kushughulikia kero za kwao Parangu. Umaarufu wake ni kwa sababu ni mchepuko wa Sumaye; na si vinginevyo.
 
Hana la msingi. Watu bado wanalia ma umaskini wa kutengenezewa. Watu wa songea bado wamelala wanaamini katika ccm ambayo inawapa umaskini
 
Back
Top Bottom