Pole sana wanafunzi waathirika. Inasikitisha sana
Ajiandae kujenga upya mana makuti yote yameunguaDaaah! Mmiliki pressure juu!
Wasahau hiyo.hadi zimamoto wafike hapo ndio shiiida
Mkuu ni bar kubwa ya makuti paa lake ilikuwa inawaka moto lile paa na fire kwa bahati nzuri wamewahi hivyo wameshazima ila vitu vimeungua ni kweli moto ulikuwa mkubwaWanabodi habari za asubuhi!
Nimepita sasa hivi hapa Morogoro Rd maeneo KIMARA TRA, kuna jengo kubwa nyuma ya OFISI ZA TRA KIMARA linawaka moto.
Kwa macho ya mpita njia, moto ule ni mkubwa sana. Nikiwa kama mpita njia sina info za ziada.
Ukisikia Baa kimara ujue mmiliki ni mangi bila kusahau kitimoto rostiHeee si ndo pale BP? Baa ya mangi hiyo.
Yaa yanaruhusiwa na ambulance na ile emegenc ya tanesco!!Hivi katika dharura kama ya moto yale magari mekundu yanaweza kutumia njia ya mabasi ya mwendokasi?
Si yanaweza kuchomolewa matairi mkuu?Hivi katika dharura kama ya moto yale magari mekundu yanaweza kutumia njia ya mabasi ya mwendokasi?
Hiyo bar ya zamani tangia niko primary mpaka nimekuwa mmama......Ni baa ndo imeungua ipo karbu na jengo la TRA Kimara.Zimamoto wamefika ila hali ya baa ni tete
Mama nani waitwa au mama wa umri?Hiyo bar ya zamani tangia niko primary mpaka nimekuwa mmama......
Tutaaminije kama kweli wee ni mmama bila picha sasa!!Hiyo bar ya zamani tangia niko primary mpaka nimekuwa mmama......
Daaah! Mmiliki pressure juu!
Mama wa handsome boy mmoja hivi amazing........Mama nani waitwa au mama wa umri?
Atairekebisha upya ndo ilikuwa sehemu ya kupumzika/kunywa na kucheki mpira kwa sisi wengine.
We amini usiwe tomaso kwa kidole.....Tutaaminije kama kweli wee ni mmama bila picha sasa!!