Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Jana nimepita barabara ya Sam Nojuma, barabara ambayo inapendeza sana kuliko zote dar usiku jinsi ilivyopambwa na mataa yake na mandhari ya mlimani city. Lakini cha kusikitisha, lile jengo ambalo tulitegemea lizazidi kuipendezesha la TCRA, kwa kweli usiku linatia aibu. Kila kioo kinaonesha rangi yake tofauti vingine kama vichafu vile.... wala utofauti wa rangi hauko katika mpangilio wa kuvutia kusema kuwa labda walidhamiria kutengenesza pattern fulani. .... Nawashauri TCRA waaangalie uwezekano wa kuvibadilisha vioo na kumwajibisha Contractor/Supplier/Consultant.