TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,975
- 15,316
Acha tu mkuu, mimi mwenyewe niliponea chupuchupu kunasa kwenye huu mtego wa ghorofa. Mpaka siku kuna rafiki yangu ni engineer akanikalisha chini akanishushia mahesabu, kisha akanipeleka sehemu akanionyesha kighorofa ambacho kimeshakula 120m na hakijaisha bado. Nikasema huu ujinga sifanyi....!!Siku mie namwaga slab mifuko 116 ya cement inondoka mbele ya macho yangu ndio nilipojua haya maghorofa yote ni kujijaza upepo tuu unless ni for business. Bora ujilie mbususu tuu kwenye nyumba yako ya chini ya mil100. Muhimu kuwe na kipupwe vyumba vyote na maji yanatoka kwa presha basi.
Nikatandika kitu cha chini cha uhakika, chenji mpaka leo naendelea kutafunia mbususu 😄