Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,672
Wakuu Matola, Tuyuku, MTAZAMO, MZEE WA ROCK et al! Mimi naungana na mkuu Sembuli kwa hoja yake ili kumuelimisha ndugu jeneral Mimi nimefika Durban, SA na nikashuhudia jengo lenye jina la baba yetu wa taifa letu, jengo hili ni "Julius Nyerere Avenue" linapatikana manispaa ya eThekwini ndani ya Jiji la Durban. Sijatembea sana katika nchi hiyo lakini najua zitakuwepo na sehemu zingine. CC. chademaistheway!
[
Unakosea sana mkuu! Hill jengo unalolizungumzia ni la mtu binafsi na si serikali, ni sawa na wewe uamue kusimamisha ghorofa yako pale posta alafu uliite "mwigulu plaza" hiyo haina maana yoyote kuwa serikali ya JMT wanamuheshimu sana mwigulu, bali no mahaba yako ww binafsi
Last edited by a moderator: