Jenarali Ulimwengu alikuwa sahihi sana

Jenarali Ulimwengu alikuwa sahihi sana

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,646
Reaction score
164,798
Mzee huyu alisema tunarudi nyuma miaka hamsini.Kwa haya yanaoendelea nasema wazi mzee huyu aliona mbali sana.

Kamanda Lissu nawe uliona mbali sana na kutuonya ni nini kinafuata na hakika yanatimia.

Wenzetu hawa wanaoshangia wajue tu na wao hawako salama.
 
Mzee huyu alisema tunarudi nyuma miaka hamsini.Kwa haya yanaoendelea nasema wazi mzee huyu aliona mbali sana.

Kamanda Lissu nawe uliona mbali sana na kutuonya ni nini kinafuata na hakika yanatimia.

Wenzetu hawa wanaoshangia wajue tu na wao hawako salama.
Una elimu gani kamanda labda tuanzie hapooo.umesomea mambo ya uchumi kidogo au umelipuka tuu. Tuletee vigezo vya kisomi wewe usidhani wote hatujaenda shule kama wewe. Na ukija utuambie nini kifanyike ili kwenda mbele miaka hamsini
 
Mzee huyu alisema tunarudi nyuma miaka hamsini.Kwa haya yanaoendelea nasema wazi mzee huyu aliona mbali sana.

Kamanda Lissu nawe uliona mbali sana na kutuonya ni nini kinafuata na hakika yanatimia.

Wenzetu hawa wanaoshangia wajue tu na wao hawako salama.
Hivi mwanasheria anaweza kutoa hoja nzito zinazohusu uchumi kukua na kutokua. Duh.....its only in TZ
 
Shida ipo matumizi ya gvt. Choice of preference

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Una elimu gani kamanda labda tuanzie hapooo.umesomea mambo ya uchumi kidogo au umelipuka tuu. Tuletee vigezo vya kisomi wewe usidhani wote hatujaenda shule kama wewe. Na ukija utuambie nini kifanyike ili kwenda mbele miaka hamsini
Uliisoma hiyo aritcle ya Ulimwengu? inaonekana huelewi hata kinachoongelewa. anyway, ndiyo akina Magu wenyewe. birds of a feather...
 
Hivi mzee kipara yukwapi sikuhizi ,
maana kimya sana,
mara moja moja huwa namuona seki na swahili time yake,

dr chen nae kimyaa
 
Una elimu gani kamanda labda tuanzie hapooo.umesomea mambo ya uchumi kidogo au umelipuka tuu. Tuletee vigezo vya kisomi wewe usidhani wote hatujaenda shule kama wewe. Na ukija utuambie nini kifanyike ili kwenda mbele miaka hamsini
Kwa uongozi aina hii sahau maendeleo ya kiuchumi labda kwa wakazi wa chato
 
Hama nchi mkuu nenda nchi utakayojiskia proud

Sent from potent potables
 
Shame nchi si lazima aishi Tanzania ikiwa ni pamoja na wewe

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mzee huyu alisema tunarudi nyuma miaka hamsini.Kwa haya yanaoendelea nasema wazi mzee huyu aliona mbali sana.

Kamanda Lissu nawe uliona mbali sana na kutuonya ni nini kinafuata na hakika yanatimia.

Wenzetu hawa wanaoshangia wajue tu na wao hawako salama.
Ishieni mbali na nadhariabzenu za uoga za "the sky is falling"

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom